Search results

  1. F

    Kupata mtoto kabla ya ndoa siyo mwisho wa maisha

    Asante kwa mchango wa kututia moyo. Ni kweli kuzaa kabla ya ndoa sio umalaya bali mwanamke unakutana na mwanamme mnaanzisha mahusiano kumbe lengo ni ngono tuu baada ya kupata hitaji lake unaona mahusiano yamelega mwisho yanaisha. Japo kuna jamii inaamini mahusiano ambayo wawili walipata mtoto...
  2. F

    Msaada jinsi ya kutengeneza fondant

    mmh kama wewe ni mwl wanafunzi watafeli wote maana naona mahitaji tuu kumwambia mtu asiyejua mashmallo atumie maji kulingana na wingi wa mashmallow atakuwa ameelewa nini.
  3. F

    Itangazwe Rasmi Clouds Fm ni Radio ya Taifa

    Eti kipindi cha safari ya dodoma hakina hata mvuto kweli ubunifu sifuri
  4. F

    Kuna kitu wanatafuta kwako: Uwe mwangalifu kwenye mitandao

    Kweli kabisa mtoa mada mie huwa sikomenti najiuliza uhalisia uko wapi hizo ni picha za kipepo tukae mbali nazo
  5. F

    Utunzaji wa nywele za asili

    nimenyoa nywele nataka kupaka mafuta ya nazi ile ntaondoaje harufu yake msaada plse
  6. F

    Special thread: Toa ya moyoni

    ..... Wa walala hoi. Duuu
  7. F

    Wanaume hawa wa JF wananichefuaga sana!

    Mmmh wa chama chakavu lazima ana matatizo kwenye ubongo wake no no no no kwa chama chakavu
  8. F

    Lema: Rais akiendelea kufikiri yeye ni Mungu basi Mungu atasitisha maisha yake kabla ya 2020

    Mmmh hizi sala nina wasiwasi hii kuombewa unaweza ombewa kinyume dah
  9. F

    Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

    Hivi ile wizara iliyokuwa ihamie dom august ndo ikapokee wageni limeishia wapi maana hata kile kipindi kimekufa tbc
  10. F

    Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

    Kuna watu walikuwa wana imani kwa mtu sasa wanavyosoma namba hadi unawaonea huruma.
  11. F

    Wizara ya Elimu: Mikopo tumetoa kwa vigezo. Wanafunzi wengine hutumia mikopo kununulia Tv na pombe

    Kama ni kichaka sasa hivi ni cha michongona. Nawasikiliza na kuwaangalia walioshiriki dhambi maana nawajua. Sikutakaga ujinga wa kuja kulalamikia maamuzi yangu ya kutoka nyumbani.
  12. F

    Huu ni ushahidi Lema alichokwa Arusha siku nyingi, anashikiliwa na kundi dogo

    Akili za wa baadhi ya watz zinahitaji uhakiki maana wengine mavi wanayaita keki hata kama yananuka
  13. F

    Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

    riba ya 19,000,000/= si chini ya 8,000,000 how 18% comes msaada hapo
  14. F

    Mikopo kwa walimu, NMB vs CRDB

    kitu kingine unaambiwa ribs ni 18% kila ukicalculate inakuja kama 76% hivi wanatumia formula gani tujuzane hapo wataalamu wa hayo mambo
  15. F

    Mapenzi yanauma jamani

    majambazi wa mapenzi ni wengi hasa siku hizi vinginevyo ni kuishi kwa akili tuu bila kuinvest sana kwenye moyo ambao hauwezi kuuchunguza ndani ili kujua unachowaza.
  16. F

    Fursa ya biashara kwenye mafuta ya alizeti

    Habari wapendwa. Naomba kwa yeyote anayejua bei ya alizeti kwa dumu la Lita 20 kwa maeneo ya Singida kule yanakokamuliwa na siyo kwa wachuuzi.
  17. F

    Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

    watu washajiapiza kuliko .mkoloni mweusi...watachagua hata jiwe likisimamishwa. wengine tulishaamua miaka miwili nyuma umechelewa kutushauri
  18. F

    Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

    tafuta zako acha wivu utasubiri sana never happen.
  19. F

    Freddy Lowassa na utajiri wa ajabu

    mbona huyo mwingine hujamtaja utakufa na visenti vya kuhongwa sijui utahadithia nini watoto wako kazi ni moja tuu kumtoa mkoloni mweusi ccm mengine kamwadithie bibi yako
Back
Top Bottom