Asante kwa mchango wa kututia moyo. Ni kweli kuzaa kabla ya ndoa sio umalaya bali mwanamke unakutana na mwanamme mnaanzisha mahusiano kumbe lengo ni ngono tuu baada ya kupata hitaji lake unaona mahusiano yamelega mwisho yanaisha. Japo kuna jamii inaamini mahusiano ambayo wawili walipata mtoto...
mmh kama wewe ni mwl wanafunzi watafeli wote maana naona mahitaji tuu kumwambia mtu asiyejua mashmallo atumie maji kulingana na wingi wa mashmallow atakuwa ameelewa nini.
Kama ni kichaka sasa hivi ni cha michongona. Nawasikiliza na kuwaangalia walioshiriki dhambi maana nawajua. Sikutakaga ujinga wa kuja kulalamikia maamuzi yangu ya kutoka nyumbani.
majambazi wa mapenzi ni wengi hasa siku hizi vinginevyo ni kuishi kwa akili tuu bila kuinvest sana kwenye moyo ambao hauwezi kuuchunguza ndani ili kujua unachowaza.
mbona huyo mwingine hujamtaja utakufa na visenti vya kuhongwa sijui utahadithia nini watoto wako kazi ni moja tuu kumtoa mkoloni mweusi ccm mengine kamwadithie bibi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.