Mkuu hata uchaguzi usingerudiwa tungeendelea kuwa maskini tu, haimaanishi kuwa hizo hela ndo zingukuja kutusaidia, so better haki itendeke na tuendelee kupambana kuliko kukaa kimya wakati tukiendelea kuwa maskini kwa maana nyingine with or without uchaguzi kurudiwa we will still be poor, but...
Kata nne mpaka sasa zimetangwa kata nne ambazo zote CCM wanaongoza, moja ya hiyo kata ni sehemu anakotoka mgombea wa CCM, kwa bahati mbaya majina ya kata sijayakariri vizuri
Samirnasir nafurahi sana kusoma hii post na pia naunga mkono kama CDM inahitaji kubadili mtindo wake wa viti maalum ili kupunguza malalamiko. Lakini pamoja na hayo yote pengine tusisahau mambo machache na hata tunapolaum tukumbuke hata hao walioshiriki kuandaa mchakato huu hawakuwa miungu wala...
You are not missing anything mkuu, kuna watu humu ndani yaoi ni kufanya spining kila kukicha na kufanya chokochoko ili wapate ya kuongesa kuhusu CDM, hakuna sehemu zitto amezungumza kuhusu msimamo wa chama chake, watu wameamua kumchokonoa tu ili wafurahi wao, na hata kama kuna tetesi (i dought...
Tatizo lenu hapa ndani mnapenda kuona CHADEMA inasambaratika ndo maana mnatafuta wapi kwa kuanzia, mlianza wakati aliotangaza kugombea uKUB haikuwork sasa mwatafuta njia nyingine, aliyeandika hapo amesema ni tetesi na akaomba zitto azungumze, zitto hajajibu tayari mnaanza kumtukana what is this...
Kwa sababu yeye ni mkristo na hata wakati wa kiapo cha ubunge alifanya hivyo
do we need a rocket science kujua alichoshika ni biblia au quran wakati tunajua ni mkristo
kweli JF ni zaidi ya thinkers
Mizizi nakubalina na wewe katika aya yako ya kwanza ambayo umeeleza vizuri sana kuhusu uteuzi wa rais kwa wabunge watatu toka zanzibar na ninakubaliana nawe kabisa.
Hata hivyi paragraph ya pili mimi sikubalini na maelezo yako kwani yanapotosha hali halisi ya CHADEMA, na isingekuwa haki...
Pole sana Mwera na pole zaidi kwa wenzetu kuwepo kituoni, lakini naamini watatoka tu, haya ndiyo mapambano dhidi ya udhalimu na wadhalimu na hii ndo njia peke tutawatoa hawa wezi mmoja baada ya mwingine. Nisikuchoshe mkuu sherehekea kwa bidii maana hilo ni bao na tusi kwa PM tema uwanjani kwake...
Mwera naomba pia upige kelele sana on my behalf pia ili pinda apate ujumbe kuwa mpanda siyo sumbawanga mjini walipochakachachua na kuhakikisha mtu wao anashinda kwa kura 196. shout mpaka dodoma isikie na waambie waseme waliosema chadema ni cha kaskazini na cha wakritooo. hilo hakika ni bao...
Mwera what a news???? natamani ningekuwa hapo nami nasherekea, maana ushindi huo unaongeza presence ya CHADEMA nyanda za juu kusini ikizingatiwa kuwa unafuta kabisa ile dhana ya CHADEMA ni cha kikabila na kidini. zaidi ya yote huyu ni moja ya viongozi wetu chadema. sasa inakamilisha safu ya...
Asante sana mwanakijiji, hujui ni kiasi gani nateseka kusuburi matokeo haya, asante kwani umekuwa more concrete kwa kuja na data hizo, kama utaendelea kupata update please keep on posting. You are the reason I am still awake
asante sana God bless those who sufferes for this national
kaka poleni lakini kuna habari nyingi mno mpaka zinatisha, asante kwa kulinda kura zetu, sisi kawe tulilinda siku mbili msichoke usiku mmoja tu! tuko pamoja
Mwanakijiji, hii habari inamchanganyiko sana, kwanza tuliambiwa CDM wameshinda kwa kura 607 (ameandika Kitila akimnukuu Zitto) then tukaambiwa CDM kashinda kwa kura 67 tu kulingana na mwera, baadaye mwingine akasema wamekurupuka CCM ndiye ameshinda sasa nawe waja na hii tema mhhhhh, sipati hata...
Mwera kuna sehemu huko nimesoma jamaa anasema CCM ndo ameshinda, si inamaana yeye kapata taarifa rasmi za tume ya uchaguzi? du silali kaka wewe tupashe hata kama ni habari mbaya
Mwamajamvi mbona mnatuchanganya? kuna mwingine hapo juu (OMUNGA) anasema acha kukurupuka mshindi ni CCM. sasa tuamini lipi? tafadhali kama huna hahika basi sema tetesi usiseme confimred
Usichoke endelea kusaidia mkuu
Sasa basi na wewe weka source hapa na matokeo kamili maana unaosema wamekurupuka nao hawajaweka data kama wewe, hebu weka twimu tuamini kuwa nawe hukurupuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.