Ni Mara nyingi Mimi asubuhi hupita Mandela road kuelekea kibaruani huku kurasini sasa kwenye foleni kuna malori ya mafuta yakielekea bandarini kuchukua mafuta sasa kuna vijana wanakinga mafuta yaliyobaki sasa kwa mfano petroli ni mafuta hatari sana
Na ni rahisi kusababisha mlipuko madhalani...
Wadau,
Mimi nimefanya kazi miaka 12 nikaamua kuacha kazi nikiwa na biashara zangu ndogo ndogo nikajua kiasia nilichonacho NSSF around 60milioni ingeniwezesha kupanua biashara zangu na kwenda mkoani kuwekeza kwenye kilimo.
Cha ajabu nimekaa miezi sita nilivyofuatilia FAO lakujitoa NSSF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.