Habari za muda wakubwa.naomba msaada kwa mwenye utaalamu wa biashara ya lubricant . Nataka kuanza hii biashara but sina uelewa wa mambo ya msingi yanayotakiwa customer wapo wa kutosha. Napenda kujua wapi naweza kuchua mzigo Kwa urahisi wa bei na quality.ni mtaji wa kiasi gani unafaa kuanzia.?ni...
Naomba kujua taratibu za kisheri mtu unpotaka kununua ardhi au kiwanja ambacho hakijapimwa N i mambo gani ya kuzingiti ili tatizo linapotokea usipoteze haki zako?
Nipo Arusha Naomba kujua ni wapi nawezapata DvD za kiswahili kwa ajili ya kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa mazingira.zinazoelezea mambo ya defforestation,climate change,overstocking,illegal hunting,.ila ziwe zinahusu tanzania au africa.
mbona sijaona hoja gapo kama unasema mr y hunafeel naye lakini mr x unampenda.sasa utaolewaje namtu ambaye huna feeling.msaada usiwe kigezo cha ndoa.hapa inaonekana hela za mr y unazitaka wakati huo x unamfeel.use ur common sense
Nimekuwa nawahi sana kupiga bao wakati kudo.nimejaribu wakati mwingine kuhamisha mawazo lakini wapi!wataalamu nipewe mbinu ili nichelewe hata 15 minutes
Ni kwa muda mrefu sasa tumeshuhudia bunge letu likitawaliwa na uzalendo wa vyama zaidi kuliko kutekeleza yale wananchi waliyowatuma.mfano badala ya wabunge kujikita ktka kuchangia hotuba ya waziri mkuu badala yake muda mwingi umekuwa ukitumika kupigana vijembe ,kejeli na matusi.haya mambo...
wadau ni kwa namna gani unaweza wekeza kwny mradi wa ufugaji nyuki kisha upate milioni kumi 10 kwa mwaka?soko kubwa la asali ni wapi ndani na nje ya nchi?
Wana Jf. Naomba msaada nina eneo langu km heka moja msata nataka nianzishe ufugaji wa nguruwe.nifanyeje ili niweza pata faida 3mil baada ya mieizi 3.kujua soko?naamba mchanganua wa kitaalam?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.