Jamani jamani jamani, Watanzania tuko zaidi ya millioni 40 ambao karibu wote ni masikini, ni wachache tu wenye uhitaji/uwezo wa kuwa na uraia wa nchi mbili. Hawa wachache wenye uraia wa nchi mbili kimagendo (kwa sasa sheria hairuhusu) makusudi yao ya kuwa na uraia wa nchi mbili ni maendeleo ya...
"Jana mwenyekiti wa CHADEMA bwana Freeman Mbowe alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Wasso huko Ngorongoro alimtaka raisi Jakaya Mrisho Kikwete ajiuzulu na kuondoka Ikulu mara moja. Kisa kushindwa kuwalipa wafanyakazi kiwango cha chini cha sh.315,000!"
Mambo hayo, kweli mh. Mbowe alitegemea...
Bandugu ukishajua mwizi wako, what do you do? Tutafute solution ya kuwadhibiti waache kutuibia! Inawezekana ikatuchukua muda lakini la msingi ni kuanza kuweka mikakati ya kueliminate these self centred politicians. Kwao wanatumia siasa kama forum ya kujinufaisha na sio kuwatumikia wananchi kama...
Kugoma kwa ajili ya maslahi yako binafsi sio jambo la kiungwana wala kishujaa, these people are self centred.
Watanzania wangapi hawana uhakika wa kula, watanzania wangapi wanakosa matibabu kwa ajili hawana pesa za kulipia matibabu, watanzania wangapi hawana ajira, watanzania wangapi...
Fanya ufanyavyo, sema uonavyo, danganya uwezavyo lakini siku moja tutakubaliana kwamba muungano huu una kasoro nyingi.
Ukiishaungana hasa kwa style hii ya muungano wetu lazima kuwepo na chain of command inayo usisha pande zote za muungano, kwa mfano mawaziri wa wizara zilizo kwenye muungano...
Hayo ni matukio yanayotudhalilisha Watanzania. Now what next? Tuko tayari kuendelea kudhalilishwa? Kudhalilishwa kungekuwa kunaendana na kuendeleza maisha ya Mtanzania kusingekuwepo malalamiko mengi, lakini kibaya ni kudhalilishwa pamoja n maisha ya Mtanzania wa kawaida kuendelea kudidimia...
Ogopa sana watu au taasisi au chama cha siasa au serikali inayo shindwa au kataa kuelimisha uma kwa kuogopa kuondolewa madarakani. Maanake uma ubaki na kutoelewa ili uendelee kudanganywa, kutawaliwa kiujanja ujanja na kuibiwa kiujanja, kwa mwendo huu hakuna maendeleo, umasikini, magonjwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.