Nafikir watu wanaona shule sio muhimu tena kama zaman ilivyokua huyo mwenye división one enzi hizo hata serikali itamtafuta na kumpa ufadhili na pengine kupewa nfasi kubwa baadae, lakin siku hiz hata ambao hawakusoma wana nafas kubwa na wanaongoza wasio. Nadhan kuna dhana ya kwamba kufaulu shule...
Kilichotekea 2015, ni kielelezo kuwa bila wiz, na tume za mchongo ccm haiwez kwenda popote. Hili lilimpa hofu sana mwndazke baada ya kupitshwa kimagumash na ndipo akaamua kupambana kuhakiksha anaua kabisa ushindan ndo mpak kufikia kufanya assassination attempts. So ccm ikikubal katiba mpya na...
Kama CCM walitufundisha kuimba Iddi Amin akifa mim siwez kulia, nutamtupa kagera awe chakula cha mamba, wakat ukatili wa huyo mtu sis wengne hata hatukuuona. Kwa nin saiv mnatutaka kusikitikie kifo cha katili tulie mshuhudia kwa macho yetu wenyew. Yaan mnataka kila kitu kutuelekeza mnachotaka...
Kwa kwel skuiz pesa yetu haina maana km 65M inanunua sqm 400 tu. Hakuna kijana atatoboa nchi hii. Icho kiwanja ata kingekua Manhattan New York hakiwez kufikia bei hiyo. Acha kuota.
Kumbuka wao wana uwezo wa kubadili chama tawala, wauwezo wakubadili chama pinzan kua tawala wakt nyinyi hamuez chama kimoja miaka 60. Maendeleo yatatoka wap ata mkiwa na raslimali nch yoyote
Kwa iyi wa Dar ndo wajanja sanaaa. Daraja likijengwa tu tu wanafanya maandamano yakupongeza serikali na kudhan Tanzania ishakua ulaya.
Kifupi nch nzima yote hii na washamba sana. Dar kwa vile mirad ming inaanzia hapa bas ndo wanajikuta wajanja balaa.
Ni gari ile ile moja wala hakuna upgrade, inasemekana ilianza kuuzwa kwa jina la quashqai jina hili lilsumbua sana baadhi ya nchi kulitumia walishndwa kulitaja mfano Australia. Ndipo wakaipa jina dualis.
Kwa iyo kuna baadhi ya nchi unauzwa kwa jina la hilo na zingne kma Australia nadhan na huk...
Na Mungu alivowaajabu sasa leo magu ni maiti Tundu ni mzima. Kwel hakuna zaidi ya Mungu. Mungu aliufanya moyo wa pharaoh kua mgumu ili kumpeleka katika mauti yake. Vivyo hivyo alifanya kwa dikteta wetu uchwara.
Labda tu niseme kuhusu uzi wenyew, hakuna umri ukifika unaacha kutamani kwa iyo kusema usioe kwa sabab bado unatamaa, utakufa bila kuoa, by the way lengo kuu la kuoa sio kuzima tamaa kwa wanawake wengne ama kukamilisha haja za tamaa zako kwa mke wako, nadhan lengo ni kua na familia.
Kama tuna kumbukumb za kina farao, herode, hitle, amin na mambo yote walioyafanya ulimwenguni na Tanzania. Hatuwez kusahau kumbukumb za mambo alifanya JPM. Kusema kwamba asisemwe kwa kigezo kua ameshakufa ni utoto kabisa. Mtu aliefanya mambo mabaya zaid na aliefanya mazur zaid wote watakumbukwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.