Bado hii ngonjera ipo sahihi?Marioupol ipo ktk hatua za mwisho kuchukuliwa sijui kama ndoto zako bado ni zile zile.Subiri kesho saa 12 asubuhi muda wa mwisho kuondoka raia kiwandani then utajua kuwa shetani NATO na vibaraka wake hawajui.
Wewe na mimi tupo ubashiri wako hautatimia.Ikifika wamepewa siku 3 kuanzia leo hadi Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho waliyopewa kuondoa raia kiwandani hapo utaona kitakachotokea pale.Baada ya Zelensky kulialia bado wapo raia Putin kaagiza wasimamishe kuwapa muda hadi jumamosi saa 12 wawe...
Mleta uzi ameandika kama vile amesoma mambo yanayotokana na hotuba ya Biden,Boris,NATO....Kama kweli Ukraine wakisaidiwa na mashetani wauawaji wa Magharibi anapata mafanikio kiasi hiki,Iweje kila siku mcheza sinema anazidi kulia kuomba misaada na kutaka kuonanana na Putin.Mara ya mwiaho walisema...
Ujinga mtupu hakika upurofesa Tz ni mzigo.Yaani Purofesa huyu haamini waarabu kwa sehemu kubwa walijihusisha na biashara ya utumwa?Hata waarabu walipoendelea na biashara hiyo wazungu ndo waliikomesha.Huyu hajui lolote zaidi ya ud....
Nakupa salute mkuu.Hakika wewe ni mmbobezi mwenye weledi kwenye historia ya Tz kabla na baada ya uhuru.Mwenyezi Mungu sub hannah akupe maisha mema na marefu yenye amani uendelee kutuhabarisha.Wewe ni hazina.Nikutakie Ramadhan Kareem.
Nyie kwa ujivuni bana,hii takwimu ya zaidi 25% ya maprofesa uliifanya vipi,hebe tupe vigezo.Maana GDP ni pato la sehemu unagawanya kwa idadi ya raia waliopo hapo,wala hao mapurofesa wako hawachangii ktk hili.
Air defense kaidi zaidi ni za Russia S 300/S 400 na zimeonesha uwezo mkubwa kwenye field siyo Patriot ambazo zimeshindwa kuzuia mashambulizi ya waHouth kule saudia.Kuliko Patriot ambazo hata zilionekana kuwa kituko dhidi ya Scud kule Iraq bora kwa mbali Iron Dome za Israel
Hii ngonjera yako bado i[po valid?Hao waliomdanganya rais wa Ukraine hawatamwacha YATIMA bado wapo naye?Ktk hayo mataifa unayoyataja kwa mbwembwe ni taifa lipi limewahi kukabiliana ktk vita ya ukweli ukweli zaidi ya uonevu na ukandamizaji?Russia siyo Iraq,Libya,Yugoslavia.....Ona kipondo cha...
Mkuu salaam.Usisahau maandiko pia yanasema ukweli utakuweka huru,Na hiki ndicho alichokifanya dogo.
Ukweli ni silaha inayohitajika popote /wakati wote maana ndo chanzo cha haki inayozaa amani.
Ukweli 2019/2020 hapakuwa na chaguzi bali mazingaumbwe/kiini macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.