Wakuu hebu angalieni ukuraca wa airtanzania kwenye facebook mtaona uniform za cabincrew , si hizi zilizowekwa kwenye hii mada... https://www.facebook.com/airtanzania/photos
Kwani alitegemea watoke kuzimu au? Yaani jamaa hata hawezi kufikiri!!! Enzi zile kila mtu alikuwa mwanachama wa ccm iwe unataka au hutaki, hupati kazi, huendi chuokikuu, hufanyi lolote la kukuendeleza bila kuwa mwanachama wa CCM sasa alitegemea waanzilishi wasiwe CCM kipindi hicho??
Pepooooooooooooooooooooooooooooooooozzz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... magamba mtahaha sana lkn maneno itabaki vilevile, CDM wanapeleka puta!!!! na bado mtajuta kwa nini mlichakachua kura 2010!!!
Haya mauchafu ya ku-throw party mtu akiteuliwa kushika nafasi yenye ulaji au kujirusha yanafanyika sana bongo. Na hao mawaziri wawili kuhudhuria such a party lazima mjiulize uteuzi huo umezingirwa na vitu gani... Mbaya zaidi jamaa wa ile blog yetu ndiye kaharibu kabisaaa alipizitundika hizo...
Hata watu mpindishe vp hii thread... Ukweli utabaki palepale, kujuana kwingi sana BONGO... yaaani watu wengine haana merit kabisaaaaaaaaaaaaa but utawaona wanapeta maeneo nyeti na kulamba mishahara mikubwa ajabu!!
aaah mkuu, mbona kuna watu wana maelimu yao ya kufa mtu, tena wamepata kwa bahati ya kulamba scholarship zinazoeleweka.. Leo wamerudi nyumbani, NO KAZI kisa hakuna wanaemjua na majina yao hayapo kwenye list ya watoto wa vigogo... AU utasema hili hulijui????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.