Search results

  1. Scientist

    Askofu Mokiwa ashitakiwa kwa kumshika makalio Mtikila

    eeheeeeeeeeeeeeeeee... kwani mtikila hakujua huyo ni askofu wa anglican?
  2. Scientist

    Prof. Tibaijuka akiri kumpa rushwa Ndungulile

    rushwa tuuuu.... unaanzaje kumlipa flani na wengine wanabaki??? Haingii akilini!!!
  3. Scientist

    Je, una imani na Jeshi la Polisi?

    Hivi IPI MALECELA ilikuwaje tena mwaka ule???????
  4. Scientist

    Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

    Bongo tambarare, sio walimu wa shule za msingi tu, hata university wamejaa sikuhizi walimu feki feki feki!!!!
  5. Scientist

    ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

    Wakuu hebu angalieni ukuraca wa airtanzania kwenye facebook mtaona uniform za cabincrew , si hizi zilizowekwa kwenye hii mada... https://www.facebook.com/airtanzania/photos
  6. Scientist

    ATCL Cabin ... Uniforms Cost USD49,000 ( PHOTO)

    Uniform za ATCL cabin crew ni hizo hapo za brown na njanonjano km rangi ya 'twiga'.
  7. Scientist

    Wanaohama CCM ni vinyago - NAPE

    Kwani alitegemea watoke kuzimu au? Yaani jamaa hata hawezi kufikiri!!! Enzi zile kila mtu alikuwa mwanachama wa ccm iwe unataka au hutaki, hupati kazi, huendi chuokikuu, hufanyi lolote la kukuendeleza bila kuwa mwanachama wa CCM sasa alitegemea waanzilishi wasiwe CCM kipindi hicho??
  8. Scientist

    Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

    :peace:
  9. Scientist

    Balozi wetu Ubelgiji hana makuu!!

    Hebu angalia kule kwenye parking yard kuna mengine pia....!
  10. Scientist

    KAMATI KUU CCM yawafunga midomo KAMATI KUU CDM

    Pepooooooooooooooooooooooooooooooooozzz Pawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa... magamba mtahaha sana lkn maneno itabaki vilevile, CDM wanapeleka puta!!!! na bado mtajuta kwa nini mlichakachua kura 2010!!!
  11. Scientist

    From Diamond Jubilee: Rais Kikwete aongea na Wazee wa Darisalama!

    Kaongea pumba weeee, mwisho kaingia kwenye 18!!! JK bwana... sa umewakodi hao wazee kuja kushangilia hizo pumba au??
  12. Scientist

    From Diamond Jubilee: Rais Kikwete aongea na Wazee wa Darisalama!

    Wakubwa mbona hamtupi updates naona mnajadili mnayoyaona kenye luninga lkn hatujui hata kaongea nini....
  13. Scientist

    Arumeru kunazidi kupamba moto!

    EL at work!!! Lazima watu waliokwenye payroll yake wampigie debe Sioi kwakuwa ni Mkwewe!!
  14. Scientist

    Watu wakiuliza uhalali wa teuzi hizi tutawaona wana wivu?

    Haya mauchafu ya ku-throw party mtu akiteuliwa kushika nafasi yenye ulaji au kujirusha yanafanyika sana bongo. Na hao mawaziri wawili kuhudhuria such a party lazima mjiulize uteuzi huo umezingirwa na vitu gani... Mbaya zaidi jamaa wa ile blog yetu ndiye kaharibu kabisaaa alipizitundika hizo...
  15. Scientist

    Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu

    Hata watu mpindishe vp hii thread... Ukweli utabaki palepale, kujuana kwingi sana BONGO... yaaani watu wengine haana merit kabisaaaaaaaaaaaaa but utawaona wanapeta maeneo nyeti na kulamba mishahara mikubwa ajabu!!
  16. Scientist

    Kuna harufu ya kujuana kwenye balozi zetu

    aaah mkuu, mbona kuna watu wana maelimu yao ya kufa mtu, tena wamepata kwa bahati ya kulamba scholarship zinazoeleweka.. Leo wamerudi nyumbani, NO KAZI kisa hakuna wanaemjua na majina yao hayapo kwenye list ya watoto wa vigogo... AU utasema hili hulijui????
  17. Scientist

    Hivi sheria hii imetungwa lini na imepitishwa na bunge lipi?

    True!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom