haya naanza bitooz=mtoto wa kiume asiye na issue maalum mjini kila kitu mjuaji yeye heleni ,sigara ,pombe wanawake vyote mtaalamu yeye,a.k.a mpuuzi daraja la kwanza,mashauzi mengi ka mwanamke anaeanza vunja ungo. Nyangema=mtoto wa kitanzania aneuusudu umagharibi na kuukandia ubongo au uafrika...
Chumvi aka uvinza ita utakavyo ndo style hapa mjini kama huiwezi acha wanaoiweza wafanye mambo yao kwa mara ya kwanza naijaribu mapaka leo ndio starehe yangu mwaka wa 7 sasa na hakuna fungus wala nini. Ila tigo tu ndo imenishinda na hii inatokana na msimamo mkali nilionao juu ya imani na vitabu...
mkubwa wala hata usisumbuke huyo penzi lishachuja au kuna wenzio wanamega ,mjini hapa magoli ya off side siku hizi ndio ushindi wenyewe,we lemaa tu mwenzio anakupetea nje ya kumi na nane huwajui wanawake wewe shauri lako,hata hivyo kila la heri katika kusolve msala wako huo .
is all about luv usijifanye kidume nenda tu kapige magoti mbembeleze ,halo halo halo unalo!!!!!!na usiombe demu mwenyewe awe na hasira na wewe utakoma,n way kila la heri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.