Ningekuwa dk wa komba ninge muandika fomul ya kula asubui maji ya moto mchana desh jion kipande cha muogo,mh, lissu yupo sawa wanataka wafanye makosa anyamaze ndyo maana cdm wanapo ona pesa znaibiwa tembo na rasilimal zetu wamekuwa mali ya mtu mmoja wanasema ukwel na ukwel una uma,na nukuu...
Nakuunga mkono tuimizane mahala popote pale syo tu kwenye makamanda tu bali hata kwenye mikutano ya serkal,ccm,binafs ,wakuu wa mikoa wilaya,popote pale hata kwenye nyumba za ibada hii ndyo intelensia ya kutosha tusitegemee tukio baya tuseme laiti tungelijua huku tutakuwa tumechelewa,mkuu BIG UP,.
Ukomboz sikaz ndogo napale unapoamua kuwa mkwel unaonikana kuwa wew ni mchochez na unania yakuvuruga aman ya nchi mfano mdogo ni jana bungen msemaj wa kamb ya upnzan Mh Sugu,penye ukwel lazima utaonekana mbaya,hapa kwetu arachuga Mh.lema ametupa amasa kubwa huwa anafalsafa yake moja inayopendwa...
Kila la heri dr slaa,mwenyezi Mungu akutangulie kwa kila hatua,ufanikiwe katika ziara yako uwe na afya teeeele!MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI CHADEMA.na iwe ivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.