Kama kuna mtu humu analifahamu kampuni lolote ambalo limeshapata Power Purchase Agreement na Tanesco na linatafuta muwekezaji kwa ajili ya kuzalisha umeme wa solar kuanzia 50-200MW anitafute kwa mawasiliano yafuatayo
Email: mathiaslyamunda@femapo.org
Mobile: +255765346970
Wapo wawekezaji ambao...
Wanajamvi Nashauri Jimbo la Kinondoni ambalo kuna Mbunge kajiuzulu, Mtatiro awe Mgombea pekee wa Vyama vyote vya Upinzani, Namaanisha Chadema, CUF ya Seif, ACT na NCCR. Tukienda kwa Umoja huu tutaipiga CCM asubuhi tu.
Pia katika Majimbo ya Songea Mjini, Singida Kaskazini na Logido tuonesha...
Taarifa nilizozipata kutoka chanzo cha kuaminika Mbunge wa Bahi ameshinda kesi ya rushwa iliyokuwa inamkabili.
==============
[/COLOR]CHANZO: NIPASHE[/SIZE][/FONT]
Akiwa anahojiwa amekiri mwenyewe kuwa alianzisha chama cha ACT akiwa bado yuko CHADEMA, aliwatuma wenzake kuanzisha Chama na kumuandalia mazingira. Sasa uadilifu wako Zitto unaojitapa nao ni upi kuanzisha Chama ukiwa ndani ya chama kingine ni uhaini na ni zaidi ya usaliti. Nilivyokusikiliza leo...
Wanaosema miaka 50 haitoshi kwa Tanzania kuwa nchi iliyoendelea wakajifunze China na Korea ya kusini. China imethibitisha kuwa nchi ikiwa na malengo inaweza kuyafikia, miaka 50+ ni mingi sana kwa nchi yenye rasilimali kama Tanzania.
Chanzo:123independenceday
Makatibu wa CHADEMA wateule
Zanzibar-Naibu katibu mkuu
1.Salum Walimu
Mtangazaji wa channel ten na mfanyakazi wa vodacom ateuliwa kuwa naibu katibu mkuu Zanzibar-CHADEMA.
Naibu katibu mkuu
1.Johny Johny Mnyika
Amrithi Zitto Kabwe awa naibu katibu mkuu CHADEMA.
Katibu mkuu
1. Dr...
ANGALIZO KWA WAPIGA KURA KUELEKEA UCHAGUZI WA BAVICHA TAIFA TAREHE 10 SEPTEMBER 2014:
Uzalendo kwa Chama changu-Chadema unanisukuma kuyasema haya; Uenyekiti wa Bavicha taifa ni taasisi Muhimu sana na ya kimkakati kuelekea Uchaguzi mkuu wa taifa 2015, Mwenyekiti wa Bavicha atakuwa ndo icon...
Sifa kuu za kiongozi wa bavicha taifa (mwenyekiti):
1. Awe mfia chama
2. Hana bei, hanunuliki kwa gharama yoyote
3. Mtii kwa viongozi wakuu wa chama
4. Anayeshaurika
5. Mwadilifu
6. Uwezo mkubwa jukwaani na kujenga hoja
7. Awe ni mwanaharakati na mwana diplomasia
8. Asiwe na chembe ya usaliti...
Muda mfupi uliopita police wamevuruga mkutano wa uchaguzi wa CHADEMA kata ya Moshono.
Police mtaendelea kutumika hadi lini? CHADEMA ni chama kilichosajiliwa na kina haki ya kuendesha shuguli zake za kichama bila kubugudhiwa, mmetumwa na nani kuingilia shughuli za ndani za CHADEMA?
Jana Chadema Arusha ilifanya uzinduzi wa kihistoria wa uchaguzi wa kata ya Sombetini na le Captain Mawazo alitoa Hotuba kali iliyowaliza wana Sombetini wakikumbuka jinsi alivyowatumikia kwa uaminifu.
Jana akisikilizwa na Maelfu ya wananchi wa Sombetini Captain Mawazo alimpa wosia mzito Bananga...
Ndudu wana Jf,
Matamko mawili ya vioungozi wa juu wa CCM Nape na Mangula, yameenda kinyume na campaign ambazo wanaCCM hapa Jf wamekuwa wakipiga kuhusu Democrasia ndani ya vyama huku wakiinanga Chadema kuwa inamnyima Zitto Kabwe Demicrasia ndani ya Chama. Je anachokifanya Lowassa sicho ambacho...
Mkuu wa Wilaya ya Bahi Betty Mkwasa amezishambulia na kutishia kuzifuta asasi za Kiraia zinazotoa elimu kwa wananchi juu ya mchakato wa uchimbaji wa madini ya uranium na madhara yanayoweza kuwapata wananchi endapo utafiti na uchimbaji holela wa madini hayo utafanyika. Mh. Betty Mkwasa...
WADAU NAOMBA TUJADILI DHANA HII YA UGAIDI WA KISERIKALI "STATE TERRORISM" TUKILINGANISHA NA MATUKIO YANAYOENDELEA NCHINI KWASASA!
"Official or State Terrorism "referring to nations whose rule is based upon fear and oppression that reach similar to terrorism or such proportions. It may also...
Huku FUKO LA KADI ZA CCM likiwa mbele ya VIONGOZI wa CCM wananchi wa LOLIONDO wamekitisha CHAMA cha Mapindizi hadi kutengua maamuzi ya Serikali na waziri wa Mali asili na Utalii.... Mbinu hii imeonesha kufanikiwa sasa ni wakati Mwafaka kwenye maeneo mengine yenye mgogoro/Migogoro ya Ardhi...
CHADEMA imeendeleza harakati za M4C wilaya ya Ngorongoro Loliondo. Wamevuna wanachama wengi, huku Mwigulu Nchemba mkutano wake ukidoda, na kurudishiwa kadi za CCM hadharini.
Kwa mliofuatilia habari za hivi karibuni kupitia StarTV wananchi wa Bahi wanaishi katika hofu kutokana na mpango uliopo wa serikali kuanza uchimbaji wa madini hatari ya Uranium kwenye ardhi yao.
Kutokana na hatua za awali za utafiti kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wananchi jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.