Sasa hivi bandugu kila mwanachama, hasa waliokuwa Wagombea kutoka upinzani ana uchungu mwingi moyoni baada ya zoezi la Uchaguzi huu kuvurugwa.
Huu ni muda wa kutafakari na kuchanga karata namna ya kuyakabiri yanayoitwa maisha baada ya Uchaguzi.
Lakini amini nakuambieni, baada ya matokeo ya...
Kama hujawahi kuhongwa ewe mtoto wa kike utadumu kwenye ndoa kweli? Hata kama umewahi kuhongwa, je, ni kiasi gani? Sio uwe umehongwa chips mayai na chenji kidogo tu. Mwanamke aliye wahi kuhongwa huwa ni imara kwenye ndoa. Ni sawa na kusema amepitia kwenye tanuru la majaribu, huwa ameiva. Huyu...
Ni vigumu kuwa billionaire katika ulimwengu wa tatu bila kukwepa kulipa kodi. It is next to impossible. Haiwezekani mfanyabiashara kuanza na mtaji wa million moja na kutengeneza faida muda wote hadi kufikia level ya billionaire. HAIWEZEKANI. Haiwezekani mfanyabiashara 'mtakatifu' akawa...
Ngoyayi Lowassa, nini kimekupata? Kwanini umekuwa mtu wa busara tena? Busara itakurejeshea heshima yako au ndiyo itamalizia hata hiyo chembe ya heshima iliyobaki?
Kulikuwa na maana gani ya kutoka CCM kama ulijua kwamba utapoteza uchaguzi na usisabishe homa?
CCM walikudhalilisha kwa kiasi...
Live today as if there is no tomorrow. Uzee si kitu chema, ni muda wa maradhi mengi, uchovu mwingi, majuto tele,... Aah, better to live to the maximum, don't let a day go without enjoying life.Vunja mifupa ingali meno bado iko yote.
If a neighbor ask you for a company in a cold night...
Mtavimba mpasuke lakini Mheshimiwa Chenge, Nyoka msaka pesa anakuja tena. Hatukujari Magufuli kuacha kumnadi jukwaani wakati wa kampeni, tumemchagua kwa kishindo.
Anakuja, kama kawaida yake, polepole anageuza makengeza kusaka harufu ya noti. Kama vile hataki, kama vile zezeta kumbe anasaka...
2015 ni mwaka wa uchaguzi, mwaka wa sarakasi,mwaka wa kujipanga na kupanguliwa, mwaka wa vurugu na chereko, mwaka wa shetani na Mungu kidogo, mwaka wa urafiki na uadui mpya, mwaka wa kupoteza mali na kuvuna mali, kuvuna aibu... Wana JF kila muda wamekuwa wakisema, "Mwaka huu tutaona na kusikia...
14th October Tanzania tunamkumbuka kidume mmoja mahiri sana wa vizazi vyote nchini. Kumekuwa na mazoea kwa Wabongo, pale mambo yanapoenda mrama husikika wakisema "Angekuwepo Nyerere haya yasingetokea"
For the sake of flash back;
Nyerere fought, and fought for the following issues:
1...
Kama CHADEMA chini ya mwamvuli wa UKAWA itapoteza uchaguzi huu kihalali, na yenyewe ikakubali, basi mimi kwa mara ya kwanza nitachukua kadi ya ccm na kuwa mwanachama. Haina haja ya kuwa na upinzani.
Hasa nasema hivyo baada ya kuona viongozi mahiri wa upinzani walotuaminisha kwa miaka nenda...
Hiyo ni kauli ya member mwenzetu bi. Kikongwe, the lone widow, Faizafoxy. Husema hivyo pale ambapo baadhi ya wanajukwaa wanapoandika makosa katika michango yao.
Kiukweli makosa mengine ya kiuandishi huwa ni ya kizembe kabisa. Yaani mtu anaandika maneno mia moja lakini makosa kumi. Umakini uko...
Msoga kilikuwa kijiji fukara and very awkward, lakini leo hii Sungura mjanja wa msoga amekifanya kijiji hiki kuwa maarufu. Butiama (hivi ilikuwa ni kijiji?) aliifanya baba wa Taifa kuwa maarufu. Kogero...
Zitto naye ameifanya mwandiga maarufu. Lakini viongozi hawa ni watoto wa mjini : Big...
Ushapu na uchangamfu wa wafuasi wa EL, kwa maana ya 4UM,Friends of Lowasa, Team Lowassa katika mitandao ya kijamii (tangu kuhamia kwao CDM) umewafunika hata makamanda wa long time.
Hii inanikumbusha jamaa fulani waliwahi kuokoka kanisani - katika mda mfupi wa uokovu wao waliweza kucheza na...
First 11 ya CCM inaingia kwenye uchaguzi ikiwa ni majeruhi karibu kikosi kizima. Kuanzia goalkeeper, mabeck, midfielders na washambuliaji wake wa kutumainiwa wote wako hoi na hakuna dalili za wao kurejea dimbani kwenye mmpambano wa October.
Mchakato wa kumpata mgombea umewaacha hoi, kuna walio...
Niambieni Wana JF kama Lowassa angetazwa mshindi kuna brand ya pombe gani ingebaki unsold Dodoma? Kuna bar gani ingebaki tulivu leo? Leo bar karibu zote zitakuwa doro.
Maana wafuasi wa Lowassa hakuna hata mmoja mwenye appetite ya kiraji. Mate machungu ! No more champagne, no more wine, no more...
Katika hatua ya kuuaga mwili wa marehemu mwl. Mahumi kulikuwa na makundi zaidi ya kumi yaliyotakiwa kutoa salamu za rambirambi.
CCM wao alikuwepo Nyoka msaka pesa mwenyewe.MC alipewa maelekezo asiwaite wala kupokea rambirambi kutoka CHADEMA.
Msiba huo ulikuwa ni mkubwa mno na ulivuta hisia za...
Kipima joto ITV hutokana na habari yenye kufikirisha. Swali la leo la Kipma Joto lilitakiwa liwe juu ya 'Ugaidi wa Amboni' lakini ITV wamegwaya na kuibuka na Magugu maji. Naomba Tuwasaidie ITV kuformulate swali la KJ.
Rais Kikwete hata kama anahutubia kusanyiko la msiba lazima hotuba yake itakuwa written! Tena mara nyingi hotuba zake huwa ni ndefu sana zenye kuchosha wasikilizaji. Kwa bahati mbaya sana hotuba za JK hazina mashiko maneno yaliyomo sio long lasting kama zilivyo hotuba za
Baba wa Taifa...
Wasanii wa Muziki wa Bongo Flava huingia katika muziki wakiwa vijana wadogo na kufirisika kimziki na hata ki-mali wakiwa wangali vijana wadogo. Lakini tunaambiwa kwamba Bi. Kidude ameanza kujishughulisha na mziki tangu akiwa binti mdogo, na amedumu katika mziki hadi pumzi yake ya mwisho. Pengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.