Ni kweli ujenzi wa madarasa ya COVID Wilayani Geita ulisimamiwa vyema na madarasa yako na kiwango walau asilimia 75. Hilo liko wazi. Shida ya DED wa Geita ni kukiuka taratibu za manunuzi za Serikali. Mbona alihozi tenda za kununua kila kitu? Akawagawia ndg zake? Huo ndio utaratibu? Hilo ndo eneo...
Only that, mother anatakiwa akaze kwenye ufuatiliaji. CLOSE FOLLOW UP ndiyo maana ya Serikali. Tangu hela ilipopokelewa, inapoanza kutumika na mradi unapokamilika. Is value for money there?
If value for money is there, hakuhitaji maneno na madocument meengi. Mradi unajieleza. Mama inabidi...
Mkuu unajua raha na privilege ya kuwa Rais wa mkoa? Kila kitu buree. Usafiri ndani ya V8. Makazi hata nzi hawakanyagi. Viwanja vya gharama, mavazi serikali.
Ndo uje ujiuzuru kwa sababu aliyekuteua ni mjinga? Si umwache na maujinga yakeee
Labda Traffic officer atakuwa anatembea na chain. Akimkamata bodaboda anafunga bike kwenye mango tree, halafu anaanza kuandika kwenye efd machine. Tofauti na hapo kweli, ataambulia vumbiiiii
Ukiwanunulia wanyonge ma TV makuubwa ya million moja @ ukayaweka maeneo ya wazi zaidi ya tatu, maana yake million tano inaokoa maisha ya watu arobain.Kwa CCM, million tano Ni kubwa kuliko uhai wa watu arobaini walofariki Dar. Lakini kwa wenye akili, million tano ni ndogo mno ukilinganisha na...
Huyo alikuwa Rais wa mabwenyenye kivitendo, wanyonge waliambulia maneno tu au kupewa tuzawadi barabarani. Mindege hiyo haina msaada kwa wanyonge. Mnyonge anataka shule nzuri yenye walimu mahiri wa kusomesha watoto wa mnyonge. Hospitali level ya Kata na wilaya ziwe nzuri ili mnyonge atibiwe...
Hii inazihirisha kwamba katika Nchi yetu, Rais ni mfumo imara zaidi ya, wenye nguvu zaidi ya mfumo wenyewe, means TISS. US Wana TISS ambayo ina nguvu zaid ya Rais. Rais akileta ujinga wake na uendawazimu wake, mfumo unakataa. Kwetu sisi, tunaweza tukawa na Rais mwendawazimu, na bado mfumo...
Well spoken. Tabora imekaa kiuswazi. Nature ya uswahilini ni majungu. Haina dawa hiyo. Labda ufanyike campaign kabambe ya population replacement. Half of the TB population peleka Mara, and the vice versa. Hapo utakomesha. Vikao tu havisaidii hata chembe.
Na Jiwe anatakiwa aambiwe kwamba chanzo...
Kati ya mateso wanayopata watumishi Geita , na watu wenye shida Halmashauri ni kuhamishiwa Nzera kwa Halmashauri ya Wilaya Geita. Inagharimu muda na fedha kwa kiasi kikubwa sana. Usumbufu. Sijui walifikiri nini hao madiwani. Na inavyosemekana ni lobbying za Musukuma. Maana Halmashauri nzima...
Ni kama vile Jiwe ame bet maisha ya Watanzania. Kwa akili ya Jiweanaweza kuwa anajisemea, " Tanzania kuna raia million 60, hata wakifa one million, NOT BAD! " Jiwe roho yake ngumu mnoooo
Mbona DC nu kama anafanya comedy?! Ilitakiwa aje na adhabu straight. Mamlaka anayo. Awaagize mabosi wa huyo mlinzi wamwajibishe. Before camera alitakiwa kusema nimeshauagiza uongozi to do this and this.
Mim binafsi nina hasira mnoo na hao SUMA..kuna siku pale HOSPITAL ya Mkoa Simiyu alimanusura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.