Search results

  1. S

    Halmashauri zetu na mapungufu yake.

    habari zenu wana jamvi, Nikiwa kama mtumishi wa serikali nimebahatika kufanya kazi Halmashauri za miji/jiji na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya Tanzania lkn niliyoyasikia na kuyaona yanasikitisha. Halmashauri hizi ndizo zenye wafanyakazi wengi wakiwemo manesi, walimu matabibu na...
  2. S

    Chege Chigunda hii Sweety Sweety ni habari nyingine

    Yess wimbo upo vizuri big up chege, video tamuuuuuuuu!!!!!
  3. S

    Nahitaji mbwa aina ya German Shepherd au Pitbull (Dume na Jike)

    Mkuu tahadhari hao mbwa usipokuwa makini nao watatafuna wanao! !! Ni hatari sana hao
  4. S

    Kwa hili alilolifanya Diamond, litamgharimu sana katika safari yake ya kimuziki

    kuna mtu aliwahi sema kuwa Mtanzania ni shida sana, sasa naanza kuona, kwani we ulitaka diamond umuamulie kila kitu ,jamani mwisho mtamwamisha na dini na kabila maana???
  5. S

    St. Agrey Mbeya, Wakufunzi wenzangu tunajidhalilisha

    mmoja kati ya wakurugenzi wa shule hii ni rafiki na brother to me , Mr Mboka MWambusi , pia Kaka tuntufye mwambusi , kama mnapat a jumbe kama hz ni bora kuzifanyia kazi , ili kutokuharibu sifa ya chuo , kwa sasa hiki ni moja ya chuo kinachotoa wahitimu wa ualimu kwa wingi na kinasaidia sana...
  6. S

    Upambe wa Urais: Mke wa mtu ajiuza Dodoma

    jumbula anatafuna pesa ya wenzie,nice story..
  7. S

    Tafakari kisha mshukuru Mungu kwa kidogo ulichonacho

    hivi watu kama kina bill gates ,bakheresa wakiona hawa watu sijui wanajisikiaje ? ee Mungu zidisha upendo kat yetu na waondoe katka vita ndugu zetu
  8. S

    Picha za kustaajabisha

    mmmh hy ya mwanajeshi unaweza jikojolea kama huna moyo
  9. S

    Military selfie

    why nimeichelew hii mshana vunja mbavu za watu haa haaaa
  10. S

    Kweli Tanzania tumefikia hapa?

    Inawezekana umepata usumbufu mkubwa kutokana na hicho ulichokisema, ,lkn kwa sasa bima ya afya NHIF imekuwa ni mkombozi mkubwa sana hasa kwa vipimo ambavyo pengine tungeshindwa kuvilipia , kutokana na vipato vyetu , ni kweli kuna baadhi ya hospital ambazo bado zinatoa huduma mbaya kwa wagonjwa...
  11. S

    Nchi hii inaweza kuendeshwa bila serikali ya CCM

    hii ndio tanzania yetu ya leo ,ni kama tupo yatima tusio na mama wala baba
  12. S

    Msaada: Anatumia kiwanja changu kuweza kufika kwake

    Ahsante Pedama , ni kweli sina amani na ndicho nnachokitafuta.
  13. S

    Msaada: Ada ya shahada ya Uzamili

    mkuu umejieleza bila kujitosheleza jazia basi tujue wapi pa kusaidiana.kwa mfano ada sh...... au pesa ya fomu sh....? pengine tukakupa mdhamini pia.
  14. S

    Msaada: Anatumia kiwanja changu kuweza kufika kwake

    nawashukuru wote kaka na dada kwa ushauri wenye weredi , nimepata majibu kutoka kwa wengi nawapenda wana jamii forum.
  15. S

    Singapore in Pictures

    jamani kuna watu wanajenga nchi zao duu!!! wapo imara sana
  16. S

    Msaada: Anatumia kiwanja changu kuweza kufika kwake

    nimepokea shauri zenu kwa mikono miwili na ntazifanyia kazi
  17. S

    Chibu, Kiba na timu za mashabiki

    clinician ifike kipindi sisi kama wapenzi wa burudani tubadilike na tuwe kitu kimoja, maana naona hata hawa wanamuziki wetu ni kama wanazipenda hz timu zao ,
  18. S

    Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

    Poleni sana kwa yayiyowapata leo.
  19. S

    Msaada: Anatumia kiwanja changu kuweza kufika kwake

    nakushukuru katavi kwa ushauri sawa na kaboom
  20. S

    Msaada: Anatumia kiwanja changu kuweza kufika kwake

    ahsante kaboom kwa ushauri.
Back
Top Bottom