habari zenu wana jamvi,
Nikiwa kama mtumishi wa serikali nimebahatika kufanya kazi Halmashauri za miji/jiji na watu mbalimbali kutoka maeneo tofauti ya Tanzania lkn niliyoyasikia na kuyaona yanasikitisha.
Halmashauri hizi ndizo zenye wafanyakazi wengi wakiwemo manesi, walimu matabibu na...
kuna mtu aliwahi sema kuwa Mtanzania ni shida sana, sasa naanza kuona, kwani we ulitaka diamond umuamulie kila kitu ,jamani mwisho mtamwamisha na dini na kabila maana???
mmoja kati ya wakurugenzi wa shule hii ni rafiki na brother to me , Mr Mboka MWambusi , pia Kaka tuntufye mwambusi , kama mnapat a jumbe kama hz ni bora kuzifanyia kazi , ili kutokuharibu sifa ya chuo , kwa sasa hiki ni moja ya chuo kinachotoa wahitimu wa ualimu kwa wingi na kinasaidia sana...
Inawezekana umepata usumbufu mkubwa kutokana na hicho ulichokisema, ,lkn kwa sasa bima ya afya NHIF imekuwa ni mkombozi mkubwa sana hasa kwa vipimo ambavyo pengine tungeshindwa kuvilipia , kutokana na vipato vyetu , ni kweli kuna baadhi ya hospital ambazo bado zinatoa huduma mbaya kwa wagonjwa...
clinician ifike kipindi sisi kama wapenzi wa burudani tubadilike na tuwe kitu kimoja, maana naona hata hawa wanamuziki wetu ni kama wanazipenda hz timu zao ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.