Duh hii ndo Bongo. Ndugu zangu tupate shule kwamba kuna Kesho usiyoijua.
Kwa jeuri aliyekuwa nayo Msiba ni mtu wa kujificha kweli. Funzo gani tunalopata hapa ? Tujue kuna Kesho.
Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Mkuu
Hapo nadhani unashindwa kutofautisha mtu kuwa na "Confidence " na hali ya kuwa na "Arrogance ". Nisameheni maneno hayo sina kiswahili chake kizuri.
Prof Assad alikuwa na Confidence ya anacho kijua, kifanya. Japokuwa walionekana mkorofi hasa kwa wale miungu watu.
2. Arrogance ni pale...
Hakuna kozi inayotufundisha kukalili note. Angeonyeshwa noti ya elfu kumi akashindwa kuitambua hapo ningemtilia mashaka.
Otherwise sioni tatizo hapo. Kama siyo matatizo yetu sisi wabongo.
Kwanza kwa mtu aliye na Common sense atajua kuwa unaokota taarifa usizojua au unapewa hadithi na kisha una fabricate.
Utaandikaje eti" mzee mmoja unayedhani ni mzanaki"? Kwa nini huja research taarifa yako ukajua jina na unaandika nini. Huo ndio watu wazima wana uita uzushi.
Unaweza kumzuia ndege kuweka kiota juu ya kichwa chako,lakini huwezi mzuia kuruka juu ya kichwa chako. So nadhani una haki ya kuamini hivyo na mimi nina haki ya kukuruhusu uamini unacho amini.
Walioenda Takukuru qao pia wana matatizo yao. Walichofanya ni kufumua mambo yanayoendelea ndani ya dhehebu hili.
Kama nilivyosema hivi sasa wachungaji wachache sana ambao wako committed walio wengi ni masilahi. Hata baadhi ya walioenda Takukuru siyo wote wenye nia ya kujenga kuna wengine wapo...
Mkuu uko sahihi sana.
Mimi ni muumini wa dhehebu hili, hatukuwa na roho ya matengano kabisa hasa kipindi cha askofu Kulola. Msisitizo ulikuwa injili ndiyo maana kanisa hili likakua kwa kasi sana.
2. Lakini tulikuwa na ombre la uongozi mzee alikuwa busy na injili tu, hivyo kukaingia wajanja...
Usilolijua ni kama usiku wa giza. Hadi sasa hakuna mali yoyote ya TAG iliyoporwa ndugu zangu tusiwe tunasikiliza propaganda za watu, hadi sasa ni viwanja na makanisa yaliyo jengwa na wamissionary wa Assemblie of God toka Springfield Missouri USA ambazo zilibakia kwa kanisa la mahali pamoja...
Mkuu
Makamu askofu Mkuu Mahene yeye ndiye alikuwa wa kwanza kuibua hoja ya ubadhilifu. Katika kuhoji mambo kadhaa akazuliwa kuwa yeye ni mnzinzi hivyo afukunzwe na Mwakipesile akafanya hivyo.
1. Tulimwuliza Mwakipesile adhibitishe tuhuma hizo akadai kuwa kuna nabii ameonyeshwa na Mungu. Na siyo...
Nashukuru kwa ushauri huo, nasisitiza anayetaka kuona na kujua ukweli mzima uwe huru kunitafuta. Hata ukitaka uje na askofu Mwakipesile njooni halafu aukatae.
Kutokuwa na transparency unakuchukuliaje na issue ya maadili.
Nimesema wewe unaye taka kujiridhisha na ninacho sema nitafute nikupe ushahidi na vielelezo. Sipo kushabikia issue yoyote hapa.
Chabusalu:
Tatizo ni la kiuongozi na kukosa transparency.
1. Katika mikutano mikuu yote ndiko ambapo maswali na hoja zozote hujibiwa. Jambo hilo halifanyiki. Mara nyingi ikitokea hoja yoyote ambayo inagusa uongozi haijibiwi na unaamulishwa kukaa chini.
2. Kuhusu magari tupeane mawasiliano njoo...
Mi siyo mchaga, lakini mahali popote mchaga alipotua kutokana na uchakalikaj8 mabadiliko yalionekana.
Mikoa mingi imechangamshwa na wachaga hiyo ni asili yao. Hivyo tusiwe wabaguzi na tukisinzia wacha tuamshwe.
Underboss
Unacho ongea kina element za ukweli kwa sehemu.
Ni kweli kuna dalili za unable, kwa sababu dhehebu hili limegubikwa na wasukuma na wanyakyusa.
2. Lakini upande wa mgogoro umesababishwa na tatizo la kiuongozi, na kukosa uwazi transparency. Unajua wakati wanatoka TAG dhehebu...
Huyo mpuuze ni mzushi mmoja wala asiye na historia ya mgogoro kati ya TAG na EAGT.
Nyerere na Kikwete walikuwa na interest gani wa bariki uporaji. Hiyo ndiyo baba wataifa aliwaita watu wa jinsi hiyo " primitive nonsense ".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.