Kwa kweli haya ndio mambo ya siasa. lakini tuwe makini kwani tunakoelekea sio kuzuri. hesima ni kitu muhimu sana katika jamii yeyote. Viongozi na sisi wananchi ni lazima tuheshimiane. Mambo ya kuchafuana sio mazuri. Ninamuheshimu sana Mengi na ninaamini kuwa sisi bindamu wote tunaupungufu katika...
Dada unatia aibu wanawake wenzako. Sasa kama wewe umesoma kuliko huyu mzee wa Peacock mbona hukutafuta kazi kwingine ambako hawaendekezi Ngono? Wewe hukwenda Peacock kuajiriwa, ulikwenda kutafuta mabwana na hao wenzako mliozalishwa na kama mnauwezo mzuri wa kufanya kazi. Hivi kweli wewe umesoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.