Kwahiyo hizo hela hazitoki mpka masharti yatimizwe sio.....haya popcorn [emoji897] please....Kweli mfa maji haishi kutapatapa....its not even a 2years mshaanza kurudi nyuma,ziko wapi zile kauli za kibabe....shikamoo wahenga aisee walisema usitukane mamba kabla hujavuka mto.
Utajiri upi unaouongelea mwenzetu??? Maana kama tumemezeshwa sisi ni nchi tajiri ila tuna shida kila siku....unazungumzia utajiri wa roho nini ndugu[emoji848]
[emoji15][emoji15][emoji848][emoji848] hili linanipa walakini...ni nini tumewaahidi hawa wahisani mpaka wamekubali kutufadhili baada ya sisi kujidai tunaweza bila wao....we are in deep shit i can tell.
Jamani alijiuzulu uwaziri mkuu na alibaki kuwa mbunge....kwahiyo hayo malipo alistahili kwa kuwa alikuwa akikatwa hela za pension...na anastahili benefits nyingne kama mbunge....[emoji23][emoji23][emoji23]
Hata waziri wa mambo ya ndani alisema aliyemnyooshea silaha ya moto aliyekuwa waziri wa habari ameshapatikana na anashikiliwa na jeshi la polisi ila haikuwa hivyo.....Trush shall set you free....SMH, ujangili dhidi ya askari wetu inabidi ukomeshwe...rambirambi zangu kwa familia za askari...
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
Mchangiaji hapo juu umeongea mawazo yangu....it makes me wonder....uongozi hautakiwi kukosolewa[emoji848][emoji848]??? Sio kwenye nchi ya kidemocrasia .jamani hizi sio zama za wafalme.
Wameshindwa miaka yooote wataweza leo....jeuri ya marekani ni sababu vita haijawahi kuanzia kwao....wasubiri wakiwa wanapigwa kwao ndo tuone wanajidefend vipi ...ile 9/11 mpka leo wanaiongelea hawajui vita haooo
Wanahofu n.korea na hizo nuclear weapons program ipo siku zitatua marekani ndio...
Kuwa unpredictable ndio silaha ya kwanza kwenye art of war...ndo maana usa wamekaa miaka ya kuhesabu south korea pale DMZ na bado wameshindwa kuidhibiti north korea...na china imewashinda kabisaaa,maana crimes against humanity zinazoendelea china si za kitoto....ndo maana wanaishia kumake empty...
Hii ya USA kuvamia syria ni ku provoke russia,n.korea ili wattack since syria ni allies wao....ili kwanza kupima uwezo wa silaha zao....i have strong reasons to believe kwamba hata zile biological weapons zilizotumika hazikutoka syria ....kila nchi duniani inaweka interest za taifa lake mbele...
We will all perish due to our lack of wisdom...#sad i have gone over and over the article (its long,it has to be an article) my learned brother i salute you...you have outlined our concerns regardless of the era of silence we are forced to live in, the rule of law must prevail to enable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.