Search results

  1. The Spit

    Makamu wa Rais, Dkt. Mpango mbona upo kimya sana?

    I don’t trust him. Sorry to say so, but God forbid the worst to ever happen, I don’t consider him a presidential material at all.
  2. The Spit

    Kassim Majaliwa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2025

    Huyo jamaa ni Magufuli aliyechangamka..Tatizo watanzania tuko wavivu sana kung’amu mambo
  3. The Spit

    Vifo vya Samaki Mto Mara: Mvua ilitibua tope na Mafuta yanayoelea ni mafuta ya mimea iliyo chini ya Mto Mara

    Fafanua mkuu sijakuelewa hapa mjaluo yupi anahisika kushupaza shingo? Prof. Mayele ni mtu wa Rukwa huko au ulitaka kumaanisha nini?
  4. The Spit

    Hotuba ya Mbowe mkoani Iringa; Asema CHADEMA inachokozwa, ataja bendera ya CCM

    Hivi akili hizi watanzania mnazitoa wapi. Hivi kazi ya chama cha Upinzani ni nini? Kazi ya chama cha Upinzani ni kuichokonoa serikali pale wanapoona kuna mapungufu. Ni haki yao na ndiyo wajibu wao namba moja katika mfumo wa kidemokrasia wa vyama vingi. Tatizo watanznia wengi sio tu kuzaliwa...
  5. The Spit

    Mbunge wa Geita Vijijini atunukiwa Udaktari wa heshima, sasa kuitwa Dkt. Joseph Kasheku

    Hicho chuo ni confrimed fake na kazi yake ni kuuzia watu sampuli ya Msukuma fake honorary degrees Rejea hizi links. https://www.chubmagazine.com/2018/07/28/busted-rogue-college-selling-honorary-doctorate-to-africans-in-london/...
  6. The Spit

    Kusema 'Nendeni Mkalifanyie Kazi' bila kuwa na KPIs kuna walakini

    Umeongea kitu cha maana sana mzee. Nimekuwa nikishangaa sana kuhusu hili jambo. Huwezi kumpa mtoto pipi halafu umwambie asilambe hiyo pipi. Lazima kuwepo na KPIs and benchmarks otherwise maelekrxo sijuhi ni ni useless
  7. The Spit

    Majembe Hatari ya Rais Magufuli, yumo Makonda, Sabaya, Murro na Jokate

    This was the first comment. Noma na nusu
  8. The Spit

    WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Kama hufaham kuwa mambo ya kuzimana internet especially twitter yalianza kipindi cha Kampeni mwaka jana chini ya serikali ya dikteta Magu basi achana na hii mada endelea na issue zingine.
  9. The Spit

    WhatsApp, Facebook na Instagram zatoweka hewani Oktaba 4, 2021

    Sasa fikiria kwa nini watu wafikirie ni TCRA na si vinginevyo? Upuuzi aliouanza Magu wa kuzimana na mitandao mambo ya giza sana na kuyaacha yanaendelea ndiyo sababu…Hakuna ambaye angewaza hivyo kwenye utawala wa kikwete
  10. The Spit

    Ushauri Kwa BAVICHA na CHADEMA; Someni Historia ya Nchi hii, mnajidhalilisha kwa wenye akili

    Hivi huyu mwamba amebadili gia lini maana kumbukumbu zangu za kipindi cha uchaguzi mwaka jana yeye ndo alikuwa anajaza threads hapa kumponda Magu na kumtetea Lissu? Huyu jamaa kama sio Kigogo mwenyewe sijuhi!!Sio kwa hii U-turn.
  11. The Spit

    Rais Samia apunguza gharama za matibabu ya figo kwa asilimia 66

    Kuna upungufu mkubwa. Rais hafanyi na hawezi kufanya kila kitu yeye kama yeye. Ni sahihi kusema serikali imefanya au kama mnapenda tu ku-tag jina lake basi sema serikali anayoiongoza rais SSH lakini kusema Rais kafanya sio sahihi.
  12. The Spit

    Binamu Bananga aipa darasa CHADEMA

    Exactly MODs wako wapi kufuta posts kama hizi za kutunga tunga. Bananga hajaandika wala kuongea hayo mapupu ya Lumumba. Bananga ajitafakari manake he is a weak link. Why Lumumba wamtumie yeye kusambaza propaganda na watu waamini bila hata kuchukua muda kujiridhisha?
  13. The Spit

    Binamu Bananga aipa darasa CHADEMA

    Huu mbona uongo? Bananga hajaandika huu upupu mmejitungia UVCCM huko propaganda za kitoto. Lete uthibitisho kuwa haya maandishi ya Bananga? Account yake ya IG hakuna post kama hiyo. Mimi siungani na siasa na misimamo ya Bananga but I’m not the one to fall for these cheap politics.
  14. The Spit

    Kama hii ndiyo idadi ya CHADEMA kutoka mikoa kuja kwenye kesi ya Mbowe, basi chama kimepoteza mvuto kabisa

    Kizazi cha laana CCM tatizo hamna akili sasa hujui kwamba kuna tishio la kuua kutoka kwa mwenyekiti mwenza wenu Kamanda uchwara Siro? Unadhani hilo tishio la kupiga na kudhuru wanaotaka kuandamana kwa amani lisingekuwepo hali ingekuwa hivyo? Tatizo hamna akili au hata kama mnazo lakini mmejazwa...
  15. The Spit

    Ahsante Rais Samia, hatimaye HESLB wafuta VRF kwenye system yao

    Mkuu kila nikiingiza FORM FOUR index namba yangu inaniletea “ Incorrect Index Number Format”….Nikienda kwenye advanced search by names kwenye vyuo/taasisi vilivyopo ni vya Tanzania tu hakuna vyuo vya nje. Advise please? Au system ina cut-off ya miaka kwa waliomaliza zamani kidogo haitambui...
  16. The Spit

    Tafakuri: Nahodha huyu anaungwa mkono na nani?

    Ni wapumbavu na binadamu yenye roho ya kikatatili katiki pekee yaliompenda huyo mwendazake
  17. The Spit

    Freeman Mbowe na Jopo lake Waingia Bunda, aongoza kikao cha Mashauriano

    Sukuma gang naona mmechanganyikiwa kisa legacy ya mwendazake imeguswa. Kwani uongo mwendazake alikuwa mkabila wa wazi wazi. Tatizo hampendi kuambiwa ukweli na ukweli ukisemwa kila siku mtakuwa mnachanganyikiwa maana huyo mwendazake wenu alifanya mambo mengi sana ya ovyo.
  18. The Spit

    Gender stigmatization: CHADEMA kushinikiza kufukuzwa Wabunge Viti Maalum

    Hivi watu wajinga wajinga kama nyie ndiyo hamkuji kuisha kwenye nchi hii. Kazi ipo!
Back
Top Bottom