Search results

  1. Transman

    Tumetoka mbali voo

    Halafu wanatuita wizii
  2. Transman

    Manjonjo ya mwanasheria rwegashora.

    Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurud nyumbani Bukiba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja. Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alinuona mtanashat na mdada mmoja mrembo anakuja ofis. ini kwake akajua ni mteja anamletea kesi. Ndipo...
  3. Transman

    Chemsha bongo.

    Nitajie neno la kiswahili linalomalizikia na neno fo, ukiachia kifo na fofofo?
  4. Transman

    Ni yupi kati ya hawa unamkubali na wimbo wake gani ukiuskiza unakuchota?

    Brian Adams. Brian Mcknight. Geoge Machael. Phil Collin. Kenny Roger. Kenny G. Kenny Thomas. Lion Richie. Elton John. Don William. Enric Eglesias. Born M. Abba. Joe Thomas. King Robert Kelly. Carl thomas. Tyress hotboy. Tank. Avant. Dons john.
  5. Transman

    Msaada wa jina la wimbo huu

    Habari zenu wana jamii. Ninashida wa wimbo ambao siujui jina lake yeyote mwenye kujua tafazali anisaidie. Wimbo wenyewe ameimba AY na jamaa simfaham kutoka Uganda. Verse ya wimbo huo Binadam sio watu, Ukiwa na hela utawaona Mbona sasa wamekimbia.
  6. Transman

    Nisaidien kupata nyimbo za joe thomas.

    habr zenu waungwana nani atang.saidia kupata nyimbo za joe online?
Back
Top Bottom