Wakuu samahani naomba kuuliza.
Nina girlfriend wangu alikaribia siku za hatari tuka-sex baadaye akajua yuko siku za hatari nikamuwahi na P2 ndani ya masaa sa 72, sasa tangu jana anakojoa mkojo wa njano sana na unanuka mno. Leo tena anasema kakojoa kaona kama kuna matone ya damu kwa mbali. Hii...
Natafuta msichana Age 23-26 ambaye nitaweza kua nae katika mahusiano na badae ndoa niko dodoma akiwa maeneo hayo ni vizuri zaidi njoo PM tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ndugu yangu kaagiza gari imefika hadi dar kaambiwa hajalipa inspection haelewi chchote alimuomba mtu tu amuagizie mana ake ni nini na hua utaratibu ukoje hadi gari ikufikie mana hadi sasa iko apo dar wiki ya 2 sasa msaada kwa wajuzi wa mambo
Kumetokea ajali leo Dodoma maeneo ya mirembe kwa gari aina ya Hilux ikiwa inaendeshwa na mwalimu wa cbe dodoma mr Msuta na kugonga treni mwalimu uyo amefariki usiku huu katika hospital ya general dodoma alikokimbizwa kwa matibabu
.I.P mr Msuta
Wakuu kesho nina safari ya Zambia. Nina matumaini pasipo na shaka kabisa kesho nitakua nae siti moja au atakua jirani yangu huku tukisoma magazeti kwa mbaali na nikifungua ukurasa wenye sura ya Kichuya.
Tuombeeni safari njema wakuu
Watu wengi walisubiria kwa hamu sana kuona jokate ata post nini kuusu alikiba kwenye siku yake ya kuzaliwa cha ajabu sana akapost maneno ya lugha ingine kabisa nakuwaacha wambea hoi sasa kwa kua mimi ni mbobezi wa lugha hii nipo tayari kuwa tafsiria ila kwa sharti la kunipa ela mnataka umbea lipieni
Huyu kijana ana kipaji cha ajabu hajawahi kukosea kuanzia sikati tamaa mpaka sasa lete mziki..namuona mbali sana kijana huyu fid Q,Joh na wengine muangalieni sana uyu bwana mdogo
Wakuu kama mmeona jioni ya leo bungeni kupitia TBC 2 alichosema juliana shoza kama kuna mtu kamuelewa binafsi sijaona akitaja vifungu vya sheria husika kama walivyosema wenzie ila nimeshuhudia tu akimshambulia Mbowe na lowasa tu na baadae kuunga mkono hoja
Naomba historia fupi kuusu uu ugonjwa nini chanzo chake? na ipi tiba yake nina mtu namjua umemsumbua sana hadi kukatisha masomo yake
cc.mshana jr,mzizimkavu
Habari wakuu kama nilivyosema mdogo wangu anakojoa kitandani mpaka leo hii yupo form 1 tumempeleka boarding lakini tatizo bado lipo mpaka leo hii hadi walimu wanataka kumrudisha nyumbani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.