Kituo cha televisheni cha ITV kimerusha habari usiku wa jana kuhusu vurugu zilizojitokeza kwa takribani siku mbili huko Mtwara. Taarifa hiyo imelitaja waziwazi jeshi la Polisi kuhusika na uchomaji wa nyumba za raia na kufanya uharibifu wa mali katika kile kile kilichoelezwa kusaka wahalifu...
Kituo cha televisheni cha ITV kimerusha habari usiku huu kuhusu vurugu zilizojitokeza kwa takribani siku mbili huko Mtwara. Taarifa hiyo imelitaja waziwazi jeshi la Polisi kuhusika na uchomaji wa nyumba za raia na kufanya uharibifu wa mali katika kile kile kilichoelezwa kusaka wahalifu...
We kweli zuzu. Ulitaka ahojiwe na RAdio inayoshika Mtwara tu? Kwa hiyo hata angehojiwa na BBC ungepinga kwa sababu haishiki Mtwarw?? Hivi matokeo yako ya form four yamesharudiwa kusahihiashwa au unapoteza tu muda huku JF?
Mtwara ni afadhari ya Jana polisi wanavunja nyumba za raia na kuchoma masoko. Fujo ndo zinakolezwa na polisi wamekuwa vibaka badala ya kuwa walinzi.
Mtwara itakuwa kama KIVU, au NIGER
DELTA.
Picha ya kwanza inadaiwa ni wananchi wakizima moto nyumba moja inayodaiwa kuchomwa na Polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.