Linda Mulungi pole sana and may your soul rest in peace. Nimeskitika sana kusikia yaliyo mkuta Linda. She was such an amazing girl. I really hope and pray her family watachukulia atua hiyo hospital.
Ahsanteni sana kwa hii topic. Mimi binafsi nilijaribu vidonge kwa kipindi kifupi lakini niliumwa sana (headache, kizunguzungu, mapigo ya moyo kwenda kwa kasi sana and nilipoteza hamu ya sex kabisa). Niliamua kutumia calender mpaka leo hii.
Hivi kwa watu walio Tanzania inawezekana kuomba kipindi...
Binafsi I don't know why people cheat. Unakuta watu wengi especially women end up stepping out their relationships/marriages (start sleeping around) cause somebody cheated on them. Dont let a cheater change who you are! Do not block your blessing from our God Almighty so you can get even with...
Hapa kuna tatizo kubwa sana. Lets be honest, hakuanza hii tabia leo wala jana. Inawezekana alianza zamani ila recently it has gotten worse. Inaonekana mama ana hasira sana sasa hatujui ni hasira na wewe or kuna kitu kina mletea hasira. Mimi kama mwanamke siwezi mwambia mwanaume wangu akalale...
Mpaka shemeji kuwa comfortable kiasi hicho kukuonyesha mambo hayo kuna mawili:
1. Is it possible kwamba shemeji yako kaisha kuona na wewe unafanya hivyo (cheating on your wife/girlfriend/fiancée)? People tend to get comfortable to do these sort of things in front of you if they know you can't...
Binadamu tuna vituko!!!! wewe kama umeoa na unampenda mke/mme wako WHY WOULD YOU PUT YOURSELF IN THAT POSITION to start with. You might save few dollars but lose your marriage!
Asanteni ndugu zangu wana JF!
Nilikuja hapa kuomba ushauri nikijua ni mkosefu.
Lakini mwanume anayeniita mimi mjinga,sina akili, sina dini-namuombea asije kabisa akapatwa na mwanamke wa design hii iliyoniangukia, na sijui kwanini wanaume wengi hujidai wao ni wataalamu wa kukwepa wanawake wakati...
Na mimi habari za ku chat na ex hapana. call me insecure or whatever but when comes to ex, let them be ex (exit). Mliisha achana sasa mambo you ku keep intouch ya nini. You should be investing time in finding new partner if you are still single or in your current one. sometime cheating doesnt...
Ni kweli kabisa ulilosema. Mimi mwenyewe nililelewa na mama wa kambo lakini nakukwambia baba yangu kila siku akirudi hata iwe usiku wa manane ataniamsha na kuniuliza how was my day na kama nimenyanyaswa na mtu yoyote especially my step mom. So wakina baba ambao mda watoto wanalelewa na mama...
By Fumbuka Ng'wanakilala
DAR ES SALAAM (Reuters) - Toronto-listed Orca Exploration (ORCb.V) says it plans to drill a new well in 2011 to boost natural gas production at the Songo Songo field in Tanzania amid growing local energy demand.
The company's third quarter 2010 report, seen by Reuters on...
Dokezo; wanaume wakorofi na wahuni mara nyingi ni kutokana na kuwa na level kubwa ya testosterone hormone; the hormone of love and sex in men!!!!!
Ahsante kwa hilo.
Mbona ni kawaida kuchelewa hata siku 7- 10. Kuna wanawake wengi tarehe hazibadilikagi mwezi kila mwezi lakini hata hawa saa nyingine mambo yanaweza wahi au kuchelewa siku kibao. Pia maumivu ya tumbo ya aina hiyo ni kawaida tu
Kwa vile umeisha weka mawazo hayo inabidi uongee nae tu vizuri. Na...
Mimi nilijaribu 18 months ago na mpaka leo havijafika even though ile tracking # ya USPS inaonyesha mizigo ilifika bongo post Office within 5 days. Mizigo ilikuwa external hard drives,dvd na vingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.