Mwisho wa uongo na ulaghai umefika, timu malalamiko, timu kufikirika hakuna tena mwenye kuweza kuwasikiliza. Tunataka maendeleo ya watu wetu nyie pambaneni na hali zenu yamewachwea msipojirekebisha na mwisho wenu ndo umefika, mtazimika kwa aibu.
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo rangi halisi ya hawa watu tunavyozidi kuiona, kwanza niseme ni jambo baya kwa bwana Mbunge mheshimiwa kupigwa risasi hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufurahia, lakini ni jambo baya sana kwa bwana Mbunge kutumia hisia kutuhumu watu ambao hata anapozungumza...
Nimempigia Rais wetu kafanya mambo makubwa saana isipokuwa tu nabii hakubalili kwao, wanasifiwa wasiofanya chochote anaachwa aliyefanya makubwa, miye nitahakikisha anaibuka mshindi Magufuli oyeeeeeeeeeeee
Duuhh huu sasa ni wivu au nini maanake kama wamenunua wamenunua kiharamu au kihalali, walifuata mchakato wa manunuzi au hawakufuata na hayo maprado unayodai wamenunua walikopeshwa au waligawiwa sioni issue hapa zaidi ya wivu na chuki.
Miye niliposikia hii taarifa kwanza nilidhani ni utani lakini baada ya kuitazama clip iliyorushwa kwenye You Tube nimesikitika saana kiongozi wetu huyu tuliyekuwa tukimtii miaka kumi yote akiwa ofisini leo hii anageuzwa kuwa MC wa Wema Sepetu, ni aibu kubwa hii imemdhalilisha sana mkuu wetu huyu...
Wacha Serikali ifanye kazi, mlipokuwa mkipiga kelele mnataka maamuzi magumu mlisema saana, sasa maamuzi hayo ya kutimua wapiga dili, vyeti feki wasiolipa kodi, weka ndani watakatishaji pesa, piga marufuku siasa zisizoa na tija, mikataba mibovu ya madini sasa mnaanza kulalamika oohh huyu bwana...
Naukumbuka saana ule wimbo Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote , uhuru wa kuzungumza ni mkubwa saana acha viongozi wetu wa upinzani wazungumze hoja zao wanavyoweza nimezisikiliza na kuzisoma, nafurahia kwamba siasa inaprevail kwa kuzungumza hivi tunapata mawazo mengi zaidi kwa mapana...
Hiyo ni Mbingu na ardhi ndugu, nazungumzia maisha na safari ya kisiasa ambayo ni unique na ina mambo yake tofauti siyo ya kitaaluma. Magufuli amekuwa Mbunge na Waziri kwa miaka 20 je hao wanalingana ndugu yangu
Mnajifariji na Chama chenu hicho hivi mtu ambaye ni mgeni kabisa kwenye siasa hata katibu wa tawi la chadema hajawahi kuwa atawezaje kuongoza lichama likubwa hivyo mmechemja poleni mmeua chama. Haingii kwa Dk Slaa hata ukucha ndo madhara ya kutaka kuwa na viongozi wenye mitizamo ya ndiyo mzee.
Wee jamaa kwa kweli ni bwege yaani hapo unajiuliza nini kwanza wewe mwenyewe hufai kwa kuwa wewe pia mfiraji, kwa hiyo ni bora umuoe ili kuficha aibu zako ambazo atakuwa huyo anakutimizia ili kusudi usije umbuka ukija kufanya mchezo huo kwa mtu mwengine.
Wacha kelele Watanzania bwana muda mwingi wetu tunazungumzia mambo yasiyokuwa na kichwa wala miguu, wewe kaa ukiamini njozi zako. Maalim Seif ni mtu wa Serikali, analipwa na Serikali na anafanya kazi ya Serikali ndo maana hamtokaa hata siku moja msikie kwamba yeye ni Rais. Tlia tafakari fanya...
Binafsi siamini jambo hili ambapo umekuta nyumba ya vyumba viwili kwa bei hiyo ya shilingi milioni 50 nimefuatilia matangazo ya mauzo ya hizo nyumba na hiyo si kweli mkuu. Okay hata kama ingekuwa kweli hivi unafahamu kwamba sheria iliyoliunda upya shirika ya mwaka 2005 imefuta na kurekebisha...
Utasubiri sana hakuna bomu wala risasi itakayoripuka. Miradi inajengwa na wakandarasi class one kama ile ya morocco na Kawe yupo estim pale kuna group six na kadhalika hakuna kampuni ya kimataifa kama zile itakayofanya kazi ya kipumbafu
Brazaa pole saana una dhana unazozichanganya hapa kwanza mawazo yako yamejikita kwenye mtizamo wa kimagharibi 'eurocentric' bila kuwa na data halisi za hali ilivyo, hivi kwanini ulipotaka kujenga hoja yako ukakopa mifano ya wadhungu wakati NHC ni mfano halisi ambao ungeutumia. Shirika la nyumba...
Weee jamaa mishahara ya NHC haitokani na walipa kodi. Kodi za wananchi zinapitia TRA na zinalipwa kwa wafanyakazi wa serikali na baadhi ya taasisi zinazotegemea Hazina. NHC inajitegemea na ni taasisi ya uzalishaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.