Nimeumia sana kuona wafanyakazi wakisherekea siku yao ya wafanyakazi ili hali mimi mwaka wa pili sasa sina kazi, inabidi na sisi ambao hatuna kazi tutafutiwe siku yetu na sisi tusherekee ili ijulikane kuwa kuna watu ambao atuna kazi na tunatafuta atupati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.