Search results

  1. rmashauri

    Who is Christina Shusho historically?

    Wamemchakachua dada wa watu. Mbaya sana.
  2. rmashauri

    Unazuia sherehe za Uhuru, unaadhimisha birthday ya CCM

    Sherehe za CCM hazitumii pesa ya serikali. Wanatumia pesa za chama chao ambazo haziwezi kutumika kwa mambo ya kitaifa. So elewa hilo,
  3. rmashauri

    Dk Sinare aula tena

    Yaani hapo ndo CHADEMA nawaona si wazalendo kabisa. Ni mbwa mwitu waliojivika ngozi ya kondoo.
  4. rmashauri

    WanaCCM Vunjo wasusa kuendelea na kampeni

    Gamba ni Lowassa na ninyi washabiki wake. Au ulikuwa hujuwi hili?
  5. rmashauri

    Dr. Magufuli akimnadi na kumpa ilani Mbunge wa Vunjo - Innocent Shirima

    Kabisa mkuu. Lowassa tangu akiwa CCM alikuwa anaungwa mkono na Rostam, Chenge, Karamagi etc. Hawa jamaa CCM wako vivuli ila miili yao iko na Lowasa na hata kura watampigia Lowassa. Mbele ya Magufuli hawana meno na biashara zao haramu lazima zidode tu. Wanapambana ili Lowassa achukue nchi...
  6. rmashauri

    WanaCCM Vunjo wasusa kuendelea na kampeni

    Mtashangaa kuona Magufuli akimgalagaza vibaya ENL
  7. rmashauri

    Natoa msisitizo, UKAWA yapoteza ngome yake muhimu Arusha

    Wamebadilisha? Nilisikia Magufuli anamalizia jijini Mwanza kisha anaenda Chato kupiga kura
  8. rmashauri

    Dr. Magufuli akimnadi na kumpa ilani Mbunge wa Vunjo - Innocent Shirima

    Majambazi walishahamia UKAWA aiseee!
  9. rmashauri

    Magufuli anaweza asiwe Rais wa nchi hii

    Team Lowasa bado mna hangover ya kukatwa fisadi wenu, lol.
  10. rmashauri

    Wananchi kanda ya ziwa waanza kurudisha kadi za CHADEMA!

    Kwa wabunge sawa ila kwa rais wasahau. Magufuli ni jembe
  11. rmashauri

    Urafiki wa Lukuvi na Magufuli umeanza lini?

    Amwache kwenye hiyo wizara ya ardhi, nyumba na makazi, anaiweza sana.
  12. rmashauri

    Elections 2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Kiuhalisia huyu ndo anafaa kuwa rais wa Tanzania kwa sasa. Nchi itanyoka.
  13. rmashauri

    Ofisi ya Auditor General hoi

    Katika ofisi ambazo zinakusanya pesa nyingi kutoka kwa wateja wake hii ni mojawapo. KUna taasisi ndogo tu ya serikali ninayoijua na wakienda kukagua mahesabua ambayo huwachukua takribani wiki 3 na idadi yao huwa watu kama 4 huwalipisha milioni 20 na zaidi. Sasa huko kwingine kwenye maofisi...
  14. rmashauri

    Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    What? Lowasa? GOD forbid.
  15. rmashauri

    Tetesi za yanayojiri kwenye Vikao vya CCM Dodoma

    Aiseee kumbe! Afadhali umenituliza maana nilishaanza kuona chaguo langu Magufuli linakatwa
  16. rmashauri

    Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

    Ukitaka kujua kuwa Lowasa ni fisadi huhitaji kuumiza kichwa, wewe angalia tu marafiki zake: Chenge, Karamagi, Rostam Azizi na fisadi wa ubungo Bus terminal Kingunge Ngombale Mwiru
  17. rmashauri

    Zantel ndio mkombozi

    Mitandano mingine ukijiunga nayo inabidi uwe maeneo ya Dar es Salaam na Zanzibar basi, na hata Dar upatikanaji wa vocha tu ni majanga.
  18. rmashauri

    Waziri Bernard Membe autingisha mkoa wa Manyara apata wadhamini

    Duh, hii kali kumbe naye ana lundo la mikashifa ya kifisadi huku akisema yeye ni msafi, uwiii.
  19. rmashauri

    NSSF ipo taabani kifedha

    Hivi watu wengine mmezaliwa na matusi tu kwa nini? Sasa kujibu kwa lugha chafu namna hiyo as if nimeongea kwa kumtusi mtu unamaanisha nini? Hizo formula za mafao kutoka SSRA ndo zikoje ziweke hapa basi tuzione. Mimi nimetumia formula za mafao zilizo kwenye mitandao ya mifuko hiyo. Sasa unaposema...
Back
Top Bottom