Ni katika wilaya ya TARIME MJINI ilikuwa ni tarehe 9/1/2014 majira ya saa 12;20 gari iliporejea katika stendi ya mabasi na kutoa taarifa katika kituo kidogo cha polisi mjini tarime kuwa kuna abiria kafariki ndani ya gari.
Abiria huyu alikadriwa kuwa na umri kati ya miaka 22 had 27 ambae jina...
mbuzi huyu azua maajabu azaa nusu mtu na nusu mbuzi.kitoto kilikuwa na kichwa cha mtu na mikono ya mbele na viungo vingine vikiwa ni vya mbuzi mbuzi huyu aliaga dunia akiwa na umri wa takribani dakika kumi na sita (16 min.) tu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.