Hatuwezi kuwa ni nchi ya watu wote waoga. Watumishi wa Umma waoga; wanasiasa waoga; wananchi waoga! Viongozi wa dini waoga!!!! Haiwezekani.. Mungu hawezi kuruhusu. Lazima ainue kinywa chenye ukali kitakachoweza kusema!!! Itakuwa unafiki na uongo wa hali ya juu kusema Gwajima ana siasa za...
Dr Slaa amtembelea Askofu Gwajima mchana wa leo 30/3/2015 hospitalini TMJ.
Viongozi mbalimbali wa kisiasa wameendelea kumtembelea askofu Gwajima aliyelazwa hospitalini TMJ Baada ya kuzimia akiwa anahojiwa na Polisi.
Mchana wa leo Mwenyekiti wa chama cha CUF prof Ibrahimu Lipumba alimtembelea...
Profesa Ibrahim Lipumba,mchana wa Leo tarehe 30/03/2015, amemtembelea Askofu Josephat Gwajima aliyelazwa TMJ Hospital.
Amefurahi kuona hali yake inazidi kuimarika na ameshatoka kwenye wodi ya wagonjwa mahututi,(ICU).
Mheshimiwa Edward Lowassa leo anazindua helicopter ya Mchungaji Josephat Gwajima wa Ufufuo na Uzima; Kawe itakayotumika kueneza Injili Tanzania nzima na kusaidia katika shughuli mbalimbali za kikanisa.
Fuatilia kwa habari zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.