Kama Kawaida yake Salva Rweyemamu ameamua kujipaka kinyesi kwa kujibu kijuha tuhuma za Dr Slaa. Huyu inatikiwa aanzishiwa thread yake ili watu wamchambue kisawasawa
hujaangalia vizuri wote wamo humo. Nguluma, Sinare, Majaar Rwechungura. Kuna pia sina hakika mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Makani(labda ni jina tu) ila kama ni yeye anatakiwa atoe maelezo ya kina.
Duh, kumbe samutaimuzi mkuu huwa una uchungu wa dhati. Nadhani hapa inatakiwa WTZ tushitaki watu au mob justice ifanye kazi. Tunaweza kabisa kuchangisha pesa halafu tukapata watu kutoka MOSSAD wakatuondola kansa hizi. Kuna mijitu inadhani itaishi milele.
U got it twisted brother. Unapewa muda kama unaanza toka kwenye ovyo siyo timu umeikuta vema unaingia na gea y ku-rotate wachezaji. wamejifunza huyo alitakiwa hata asichkuliwe tangia mwanzo
Huyu naye sijui kakurupuka kutoka pango gani. Hakuna sehemu hiyo post uliyonukuu imetaja mahusiano ya kazi na kupendelewa. Acha hijabu nyumbani wakati mwingine ili uone vema
Well said brother. All African rulers are as guilty as Gbagbo. It will be the story of baboon laughing At the ass for another baboon. This is Africa more than we know it.
Well said brother. All African rulers are as guilty as Gbagbo. It will be the story of baboon laughing At the ass for another baboon. This is Africa more than we know it.
Kibs.
mara mojamoja acha kufikiria kisisiemu sisiemu. hapo hakuna utata wowote kwanza Jaji mkuu ni nje ya mhimili ulioomba ajitoe. Pili ni kawaida upande mmoja usipokuwa na imani na refa huomba ajiondoe mradi kuwe na sabau zenye nguvu kisheria.
Mifano ipo ambapo serikali ilishawahi kufanya hivyo...
tatizo hatuna utaratibu wa kufukuza makocha. Huyu alitakiwa apitilizie huko huko. Nilimwangalia alivyokuwa kakaa kwenye benchi utafikiri timu inaongoza kwa magoli nane.
Mkuu kujipanga gani unakotaka wewe? Wameongeza idadi ya wabunge, wameongeza halmashauri za wilaya kwako hayo ni kidogo? Halafu mchango wako kwao nini mpaka uone kuwa hawajajipanga? Kwa mazingira na raslimali wamefana walichoweza wasikatishwe tamaa na watu wanaotaka (kama wanataka) mabadiliko...
Ninachoona hapa ni kuwa wakati mwingine unamponda lakini ukitoka hapo manaenda kupongezana kwa kujaribu kuchanganya watu. Ni hiari yako hata ukitaka kumsifia Zito kwa kila kitu (kitu ambacho unafanya) Haiingii akilini kila jambo la Zito ni zuri isipokuwa tu kuhusiana na JK.
kali kabisa ni...
Hii ndio huitwa Hekima. Nimesoma kilichopositiwa na kichwa cha uzi nikakosa mnyumbuliko.
Nikasoma maoni yote sioni wakinisaidia kuonyesha huo usafishaji. Mwandishi kupata habari ya upande wa pili imekuwa kusafisha mwe! Halafu ndio watu hapa kila siku hupiga kelele tunataka upande wa pili'
Watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.