Nahitaji kitanda cha kawaida kinisogezee siku mjini dar wanajukwaa
Offer yangu ni 60k
NB: NIPO TAYARI KUSIKILIZA OFFER YAKO
Mawasiliano: PM for a serious seller
Simu mupyaaaa kabisa ina week tu ni Tecno w5 kwa bei ya sawa na bureeeee nipe 200k tu nakuachia au Kama kuna mtu ana Tecno w3 basi tubadilishane aniongezee mkwanja nimepata ka-emegerncy kidogo
Mawasiliano: PM
Location: dar
naomba msaada nimedownlad bluestack lakin kila nikiinstall inasema local disc c haina space je? nitumia njia gani wakuu ama kama kuna njia nyingine ya kutumia whatsapp kupitia pc
Mtoto anakaribia kufikisha mwezi toka azaliwe lakini hajawahi hata kulia wala kusema. Nini tatizo? Tumejaribu hosptali nyingi wanasema hana tatizo!
Msaada.
Wakuu naomba kuuliza hili swala la uchangishaji wa pesa mashuleni maana kuna shule ipo mkoani iringa "malangali boys secondary school" sijaelewa lengo la mkuu wa shule hiyo kuwalazimisha wadogo zetu kulipa gharama za umeme kwa kila mwanafunzi tsh 30, 000 na huo umeme kwa maelezo yake alikua...
Wakuu msaada hii hadithi nilikua naifatilia hapa lakini siku hizi kila nikingia jukwaani siioni naomba kwa anayejua anielekeze ilipo maana tamu sanaaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.