Tafadhali ongezeni umakini, Gazeti la leo tarehe 19 Oktoba 2020.
Kwenye habari unasema jana, maana yake 18 Oktoba 2020
Lakini ukweli ni Mechi ya Uingereza vs Ubelgji ilikuwa 11 Oktoba 2020
Na jana 18 Oktoba 2020, Kane kachezea Timu yake ya Totenham vs Westham.
Mamlaka zinazohusika zinapaswa kupaangalia hapa.
Lilianza kama shimo dogo, lakini linazidi kujitanua.
Ni kwenye daraja Dogo, baada ya daraja kubwa la chuma. Barabara ya Kinyerezi
Kwa uelewa wangu Pinda kama Waziri Mkuu, Ziara hii ni ya kiserikali.
Kinachonishangaza, hayo Mgamba humu yanaingiaje..........
2015 si mbali, umbumbumbu na unafiki utazidi kuturudisha nyuma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.