mkuu tpaul,inawezekana kulikuwa na shida hiyo jmos.mimi nilbet jmos online ya premierbetting na zote zimetoa but sasa hawajaingia kwenye account yang.hakuna njia ya kufanya nao mawasiliano zaidi ya kutumia email eg through simu
Mkuu ulifanikiwa tatizo.na mimi niliweka jumamos na zote zilitoa but mpaka sasahv hawajaweka hela kwenye account yangu.niliwatumia email hakuna feedback yoyote
hivi jaman kwa akili ya kawaida isiyoitaji Phd,unamwambia mtu kesho ajisalimishe polisi then baada ya kujisalimisha unaenda kumpekua nyumban kwake ata kama ana kithibitisho cha kosa lenyewe si anakiondoa mapema.huu ni zaidi ya usanii tunaofanyiwa watanzania.
Mkuu usikate tamaa,hiyo imenikumbusha kuna siku atlectico madrid nilimpa double chance akafungwa na las palmas tena ndani ya dk mbili magoli mawili daa akaninyim 400k
So sad! ila huyo jamaa wa wales aliyemwekea mchumba ngao ili kumlinda alifanya kitendo na kishujaa na mapenzi ya kweli,ingekuwa kwetu huku bara la giza kwa jinsi tulivyojaa ubinafsi nadhani ingekuwa kinyume chake jamaa angepoma na demu akafa
Mazoezi ya kijeshi yanafanyika kulingana na wakati stahki.tukio kubwa lililo mbele yetu ni uchaguzi.nchi nyingi zimeingia kwenye machafuko kupitia chaguzi zao.sio ubaya wa jeshi kujiwekea utayari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.