Well said... Kuna wakati nkurunzinza alimshitumu kagame kufadhili waasi wa nchi kwake, huenda na hawa waasi wa kagame, bwana nkurunzinza na yeye ndo mfadhili
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jikabidhi kwa Yesu (okoka) usiangalie watu watasema nin shawishi na familia pia wote muambatane baada ya mda utakuja kushuhudia hapa. Binafsi ninashuhuda nyingi lakini inshort am 3rd year bachelor student while nafanya kazi. Najilipia ada na gharama zote. Familia pia imeinuka tena kiuchumi...
Mkuu huu naamini mama yako kajiona jinsi ulivyojitoa wewe na mkeo zidi ya baba mgonjwa. Sas tumia nafasi iyo kumshawishi awe upande wako waswahili wanasema mkubwa akosehi na mtoto akinyea mkono huukati either both mpo wrong lkn ni mda wa kumshawishi mama ampokee mkeo na wajukuu alafu mtumie yeye...
Izi kesi nishakutana nazo watu wengi huwa wanajisahau mara nyingi wanalewa na visent wanavyoshika ushauri wangu waeleze wazazi hali halisi nahis hawatoshindwa kukutumia ata elfu 2 ya mlo mmoja kwa siku kuliko kulala njaa. Pole sana hayo ni mapito tuu
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
Well said Sir! Mchawi wetu ni akili zetu wenye. The way we don't allow our mind to look in big picture and this start from our Tz leaders (government) to citizen. So far am interested with it sir, nahis naweza jifunza kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.