Search results

  1. S

    Naomba nijibiwe swali langu. Mtaala mpya wa elimu somo la dini

    Asiye na dini hatafanya chochote Somo na dini haliongezi credit kwa hiyo ufanye au usifanye ni sawa tu. Dini ni ya mtu na Mungu wake sio mitihani yetu
  2. S

    Watakaobainika kuhusika na sakata la Katibu Mkuu kudhalilishwa utu wake waanikwe hadharani

    Hakuna private issue kwa kiongozi. Kiongozi akiumwa Lazima tuambiwe,akisafiri tuambiwe n.k n.k. Wewe ukiugua au kusafiri ni familia yako inajua
  3. S

    Sheria ya Jeshi kuhusu mavazi ni ya kishamba na kizamani sana

    Kaa kimya kama hujui. Kombati ya jwtz ina nembo gani. Hata sare zingine zina nembo gani, Hiyo midomo yenu na Maandishi mnatumie vizuri Vaa uone
  4. S

    Maharagande: Naibu Waziri TAMISEMI Ajiuzulu

    Tanzania ina watu misukule mingi sana. Yaani hivi vyama vinaacha kukomalia mambo ya maana,wao wanajishugulisha na ujinga Angalia: Mfumuko wa bei ulivyo hakuna anayetangaza kuandamana, ripoti ya mkaguzi wa Hesabu,tozo n.k Halafu eti Waziri ajiuzuru kisa alipata ajali,waache kuingilia personal...
  5. S

    Rais Samia amemteua Brigedia Jenerali Yohana Ochalla Mabongo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania (TPC)

    Kwanza huyo mtoa mada amechemka sana. General Mabongo amestaafu 2018 au 2019. Ni kweli alikuwa mkuu wa idara ya tehama wizara ya Ulinzi
  6. S

    Maana halisi ya siri za nchi ni nini na ni zipi?

    Unataka akuambie wakati ameshasema siri, sasa ikishakuwa siri maana yake hazijui. Acha ushamba
  7. S

    Mfumuko wa bei ni tishio kwa maisha ya Watanzania

    Wabunge wapo bungeni, Hakuna anayegusia mfumuko wa bei seriously. Jana nimeshangaa sana kuna ndg yangu ametoka Masasi kwenda Dar nauli 28000/= kutoka 18000-22000 /= hii ni hatari sana. Wabunge wetu wekeni thamani ya ubunge wenu. Hakuna amani ya moyo katika maisha ya sasa.
  8. S

    Mkuu wa Majeshi (CDF) anampigia salute Mbunge?

    Acha kupotosha watu. Maiti yoyote inapigiwa salute,sio issue ya bendera.
  9. S

    Ujumbe kwa Membe: Kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli

    Wajinga ndio waliwao. Werevu hawakumpa uzito. Umeshasema Jasusi mbobevu,sasa unashangaa nini kilichotokea. Wapinzani wawe na akili sasa. Sio kila MTU anaweza tu kuwa mpinzani.
  10. S

    Ninyi viongozi wa umma mnaochapa watu viboko mnawachapa kwa mamlaka gani?

    Ungekuwa wewe uulizwe kuchapwa viboko na kwenda jela unachagua nini? Ungesemaje,huoni kwamba kuchapwa viboko wamesaidiwa? Kwanini ukaanze kusumbua polisi na mahakama wakati unaweza ukawapa adhabu hapo hapo.
  11. S

    Uchaguzi 2020 Dkt. Mahera: Kuna watu wana chokochoko, wasimamizi wa uchaguzi fuateni sheria kuepuka shari

    Inaonekana hujui. Ukweli ni kwamba, Tume imeagiza vyama viwapangie mawakala wao vituo,ndipo waende kuapishwa.
  12. S

    Uchaguzi 2020 Bwege na Chaurembo wanaisambaratisha na kuifuta CCM mikoa ya Kusini

    Hamna kitu kama hicho. Yaani upinzani haupati hata majimbo mawili kusini yaani Mtwara na Lindi. Mimi ni mdau wa kusini
  13. S

    Janga la mafuriko Ziwa Victoria: Mbona Serikali iko kimya?

    Wamekwenda kujenga makusudi ziwani. Wanasema maji yanakimbia watu. Serikali ifanye mambo mengine.
  14. S

    Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

    Sasa unasoma madrasa halafu upewe ukurugenzi?? Akili matope hiyo. Waislamu wasipoishukuru serikali ya CCM hapo hata mungu ataendelea kuwapiga kofi,yaani Mzee Mkapa aliwapa chuo kikuu Morogoro pale na wanasoma waislamu tu,bado mnasema mnabaguliwa? Taja chuo gani wakristo wamepewa zaidi ya vyuo...
  15. S

    Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

    Pendekeza tume iwe na watu gani,maana inawezekana ni kelele tu kumbe tume huru ndiyo iliyopo
  16. S

    Uchaguzi 2020 Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini, Patrobas Katambi achukua fomu kuomba kugombea Ubunge Jimbo la Shinyanga Mjini kupitia CCM

    Hujui watu wewe kaa kimya Watu wapo kazini Unadhani alikuwa CDM huyu, ndio makosa mnafanya CDM Watu wapo kazini,endeleeni kuvamia watu,nchi hii ilijengwa na Nyerere. Period
Back
Top Bottom