I quote
"Mimi naona amefikiri na amechukua uamuzi sahihi kwa sababu simuoni anachofanya namuona kama msindikizaji tuu. Na aende akatafute kitu cha maana cha kufanya na sio kulelewa na wanawake/kuolewa na wanawake.
Na kama atashindwa kupata kitu cha maana cha kufanya aje kwangu nitamshauri...
Since way back sikuwa napenda kusikiliza Clouds FM kwa sababu ya style yao ya uongeaji hasa Adam Mchomvu, B12 na wengineo, so nikawa a big fun of Choice FM always nawasikiliza, ila kuna watu wawili wanaboa sana kwenye kipindi cha mchana baada ya kipindi cha The fix, I mean Abby na Jimmy kabwe...
Ukitaka mwanamke akuheshimu jaribu kumpiga kwa vitendo sio mateke na mangumi.
Mf:Kama unaona ana tabia ya kuongea kwa kelele mno hata kwa vitu vya kueleweshana na kutakana radhi ondoka nenda kalale hata lodge halafu rudi asubuhi jiandae nenda kazini kama akiendelea na wewe hamishia makazi lodge...
Wakuu za mchana!Nilikuwa naomba ushauri kuhusu biashara ya taxi hapa downtown, Kodi zake,rehabilitation,hesabu kwa wiki na je inalipa naomba msaada wenu!
Kuna siku humu MMU kuna mtu(i dont remember her/him) alisema kuna natural ways za kukuza makalio ya kinadada nimehangaika kumtafuta kwenye post za kitambo mpaka nimechoka but i dont think kama anajua peke yake hiyo issue nahisi kuna wengine pia wanaweza wakanisaidia nahitaji sana kujua na nina...
This is my first thread kupost jf taingia nijiunge,and am very happy to do this manake kwa kuchangia za watu cjambo.Mimi ni mkereketwa sana wa psychology hasa social kwa hiyo napenda sana kujifunza behaviours and attitudes za watu mbalimbali kwa vigezo mbalimbali hapa leo nawaletea miezi ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.