Moja ya post ya maana sana.
Furaha ni mdogo sana na hana kazi ya maana ya kumpa utajiri alionao na uwezo wa kushinda Kawe kama alivofanya 2020.
Furaha ni mgeni mjini, so lazima ukachokuwa unasema kiwe na ukweli na mengine hujataja
Sasa utakuwa na taarifa Ipi kuzidi google 😂😂😂.
Vijana mbona mna akili ndogo, hata vitu rational tu.
Chanzo cha maarifa ni kusoma si kitabu kimoja pekee, Ila kusoma taarifa tofauti.
Sasa wewe ni Nani aliyekwambia Syria ina machafuko Kama sio taarifa tofauti.
Kitu kimoja nimejifunza humu ndani watu wengi hamna knowledge ya masuala ya Dunia.
Yemen unayoijua Leo ni muungano wa miaka ya 1990s wa Yemen mbili North na South Yemen upande wake unataka kujitenga na North Yemen ambayo wanakaa Wahouthi.
Kuhusu Israel kuisaidia Iran, Kama hujui kabla ya...
Vita ya Iraq-Iran ilikuwa hivi na pande kinzani.
Israel alimsaidia Iran
During the conflict, Iraq received an abundance of financial, political, and logistical aid from the United States, the United Kingdom, the Soviet Union, France, Italy, Yugoslavia, and the overwhelming majority of Arab...
Duniani ni USA pekee na NATO ndio zina expeditionary capabilities, zinazofata ni France na kwa mbali ni Britain.
Sababu iliyoifanya Russia isiwe na Makoloni Africa ndio sababu inafanya Jeshi lao lisiwe na uwezo wa kwenda kokote dunia ambapo wametenganishwa na maji (Hawana Jeshi kubwa na Imara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.