Shetani hapendi umoja na upendo, nakushauri usitumie nguvu kupenda, bali chukua hatua mkaribishe Yesu moyoni mwako yeye atakuweka huru na utampenda mkeo na watoto wako. Kama kuna ulozi umefanyika yeye atavunja na kuondoa laana za kila aina. Karibu kwa Yesu uone raha ya ndoa yako.
Nimepatwa na tatizo nimeshindwa kuongeza umeme meter namba tatu zimegoma kabisa battons hazifanyi kazi. Meter haijamaliza hata mwaka nipo Dodoma mjini. Suluhisho LA tatizo hili ni nini?
Tunatafuta kampuni, taasisi au mwekezaji binafsi tuingie nae mkataba wa kupandisha ghorofa floor 3 au 4 kwa ajili ya biashara ndani ya Dodoma mjini. Jengo ni la kundeleza tu lipo mtaa wa uhindini.
Karibuni Pm.
Chukua asali, tangawizi. Chemsha tangawizi nikombe 1 cha chai then weka asali mbichi kijiko 1au 2. Asubuhi kikombe 1 na jion 1 kwa wiki 1 au 2. Hope utapata tiba. Hakikisha tangawizi unaweka iwe Kali kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.