Onyo: Usisome Post hii kama umewahi kutendwa na Mwanamke, utaugua Presha na stress usijue la kufanya
Nazungumza na wanawake wote bila kujali umri
Nasema hivi, ninyi ni Mama zetu, ni wake zetu pia. Vilevile ni dada zetu na shangazi zetu kwa upande mwingine Lakini wanawake Mungu anawaona mjue...
Hii elimu bure imeanza kuleta sintofahamu baada ya kwenda kumuandikisha mdogo wangu ambaye anatarajia kuanza darasa la kwanza hapo January 2017, cha ajabu na kushangaza mwalimu mkuu wa shule ya msingi Tandale anataka nitoe elfu kumi ya kuandikisha. Je ni kweli kuandikisha tunalipia au...
ANAOMBA USHAURI:
Amenambia nisipomjengea nyumba nimsahau kabisaa namie moyo ndo umempenda sana dada huyu hadi nawaza kujiua kabisaa nifanyeje wadau namie ndo nimepanga kujiua kwa ajili yake
Napinga kauli ya viongozi kuwa pool-table lichezwe jioni kwa kisingizio kuwa watu hawafanyi kazi vipi wale wasiyocheza pool-table na hawaendi kazini? Na je siye tunaofanya kazi za usiku tu asubuhi kwanini tuzuiwe kucheza pool au kunywa hata bia inamaana hamjui kuwa uchumi utadorora kuzuia raia...
This was to have been the match that sealed Lionel Messi’s legacy. The one that silenced the doubters, that killed off the question mark hanging over his greatness, that gave him his place in the pantheon next to Diego Maradona and showed he could achieve the same success with Argentina that has...
MWAKA UMEANZA NA MOVIE MPYA INAKUTANISHA MIAMBA MIWILI DUNIANI DON YEAN MRITHI WA BRUCE LEE NA MKALI WA MASUMBWI DUNIANI MIKE TYSON HII MOVIE UTAIPATA KAMILI KWNYE YOUTUBE MADUKANI BADO KUFIKA
Hawa watu bado wapo hawajaondoka kama ulivyoagiza anza kufuatilia wanatembea usiku tu ila kutwa nzima wanajificha kwenye magodown ya kampuni kubwa za hapa mjini na mikoani
nasema hivi leo nisipoweza kuona kwenye taarifa ya habari saa 2,zomeazomea aliyozomewa mheshimiwa maghufuri leo mbeya basi ntaamini vyombo vya habari vimenunuliwa
baada ya kuroot simu yangu nikafuta divice manager,google play services,radio na file manager sasa nimeunroot simu nimeshdwa kuvirejesha naomba msaada kwa anayejua nimejaribu kurecover napo chenga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.