Habari wanajukwaa naomba kufaham pikipiki nzuri mpya kwa matumizi binafsi ya kwenda ofisini na mizunguko ya kawaida weekend. Hasa pkpk za kijapan ambazo nadhani ni durable bajeti yangu ni 3.2-3.5 million.
Karibuni kwa mani yenu.
Habarini wakuu
Naomba kujua fundi mzuri na wa kuaminika wa PC Kwa Dsm upande wa hardware na software hasa maeneo Tandika au Temeke ikishindikana maeneo Hayo basi kokote ndani ya Dsm
Nawasilisha
Habari wakuu,
Nina simu ya mtumba nilinunua kama wiki tatu Sasa ila ina mtindo wa kupata joto nikiwasha data kidogo au nikiunga Hotspot na pc au hata niwasha baadhi ya apps. Cha ajabu naweza play audio usiku kucha na isipate joto au naweza ongea na mtu Muda mrefu still isipate joto
Aina ya...
Habari wanajukwaa
Nina soft copy ya vitabu kadhaa vya taaluma yangu naomba kuuliza sehemu ambayo naweza print baadhi ya hivyo vitabu niwe na hard copy na gharama yake pia kwa Dsm....Nawasilisha kwa msaada
Habar wakuu
Naomba mnifahamishe cha kufanya Nina Tab E Model no SM T-561 Android version 4.4.4 kuna baadhi ya app nikiweka inaniambia not optimized to your device au not compatible...naomba mnifahamishe natatua vp tatizo hili wadau wa teknolojia
Habari wanajukwaa
Natafuta mwanamke wa kumuoa
Umri wangu ni miaka 30(Hìi ni serious jamani)...kwa alie tayari kwa chochote anachotaka kufaham kutoka kwangu...waweza nitumia text (DM)
Habar zenu wakuu
Naomba msaada hivi karibuni
nimenunua Home theatre ya mtumba aina ya LG sema nimekosa waya wa fm antenna wapi naweza kupata nimejaribu kwa mafundi nimekosa...nipo DSm
Habari wakuu.
Nimennunua Tv ya Homebase na king'amuzi cha startimes sasa sipati rangi nzuri ya picha channel zote naomba kujua tatizo ni tv au king'amuzi
King'amuzi ni kile cha antena ya ndani
Naombeni msaada jamani kama nakosea kuset au la au kama ni tv kesho niirudishe.
Habari wanatekinolojia
Naomba kufahamishwa namna ya kuondoa baadhi ya application ambazo zimekuja na simu (built in apps) mf facebook na zingine kwani naona zinachukua nafasi wakati sijawahi hata kuzitumia
Natumia simu aina ya samsung galaxy grand prime+
Habar wana tekinolojia naomba msaada juu uwezekano wa kupata simu ya samsum mpya original kwa shillingi laki tatu tu
mfano samsung j5 au S4 au note3 au yeyote yeyote yenye angalau kioo kikubwa kidogo
Heshima kwenu wakuu
Nina simu yangu aina ya Tecno M3 Sasa takribani siku kadhaa sasa kila nikiiwasha inaishia kuandika tecno tu basi haiendelei zaidi ya hapo nikizima haizimi hadi nitoe betri ila nikiiwasha ndo kama ivo inaishia kuandika tecno kutwa nzimz..Msaada wenu Tafadhali
Habari wakuu
Naomba mnisaidie site ambayo nitaweza kudownload vet books mf.
natafuta kitabu kinachoitwa veterinary parasitology by MA.Taylor,RL.Cool,RL.Wall
kwani nimejitahidi binafsi kutafuta google nimekosa free one naambiwa ninunue amazon hayo madollari mimi sina....
Najua kwenye wengi...
Habari wakuu
Naomba mwenye softcopy ya kitabu cha veterinary parasitology fourth editon by
MA.Taylor
RL.Cool
RL.Wall
Nimejaribu kutafuta mtandaoni nimeshindwa kupata free copy vinginevyo ununue Amazon
so plz mwenye hiyo softcopy anisaidie au labda site ambayo naweza pata freedownload ya...
Hbr wakuu yeyote mwenye taarifa juu ya hii pesa ya mafunzo kwa vitendo(Field practical allowance)...ambayo serikali ilisema itatoa kwa awamu mbili lakini awamu ya pili ya pesa hizo haina hata dalili na field tunaaelekea kumaliza wengine next week...sijui hata kama swala lenyewe linakumbukwa na...
Bodi ya mikopo ilisema field practical isogezwe mbele kwa wiki mbili kuanzia tarehe 25.07.2016 na wanufaika wataingiziwa pesa hizo wakiwa nyumbani ili ziwawezeshe kwenda field.
La kushangaza hadi jioni hii ya jmosi hakuna pesa yeyote sasa sijui dhamira ya bodi ya mikopo ni nini. Daaaah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.