Ndoto zako nzuri,lakini haiwezekani shekhe Seif kuamia chama cha makafir,labda Mbowe ama Slaa waje CUF cause Seif kashashinda wenye shida nyinyi wadanganyika
Wewe ndio unadharaulika,hivi ulikosa mijadala sehemu husika hadi alete kafiri Yericko ndio uone mtetezi,bakwata iliundwa na nyerere na waislam halisi hatutachangia humu yale yetu ya moyoni
Mmechelewa sana makafiri na vyama vyenu vya kikristo,hivyo ulivyovitaja havipo TZ hapa ipo UAMSHO chenyewe hakisimamishi mgombea ila kitamuunga mkono mtetezi wa waislam na uislam
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Waislam tuna vyanzo vyetu vya habari sio hivyo vya kikafiri,adui yetu mfumo kristo aijalishi chama gani,wewe umetumwa na shekhe Slaa mwambie asihofu atapata kura za waislam yeye ndio mtetezi na mkombozi wa waislam
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Majibu ya maswali anayo Ben Saanane,akiamua kusema ukweli atawasaidia wanaoteseka magerezani,hebu ongeeni nae awe na huruma hata kidogo mipango yake anayoifanya inawatesa wanyonge
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Babu slaa anakula raha ughaibuni huku kina kileo wanashughulikiwa gerezani,hakika kumbukumbu itapendeza tuwekeeni namba za Joy tumsaidie asiteseke na baridi kwani jamaa akirudi atafikia kwa macheni
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Ilala hawajaoza meno,tena wana shughuri za kujipatia pesa na maisha yao yapo juu sana yani bajeti ya home kwa siku zaidi ya msimbazi...pia hakuna wakusanya harambee zaidi muulize babu Slaaa anaijua vizuri ilala
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mnafiki ni mnyika,yeye ni sehemu ya bunge lililopitisha hoja hii kama hakupenda wananchi tuumizwe mbona hakuipigia kelele kabla au baada ya wananchi kugundua kwamba wabunge wote wapo kwa maslai yao.
Siku zote anadandia hoja ili asikike lakini hiki kijamaa ni kijinga kweli,hadi sasa kero...
Hampaswi kuilaumu ccm kwa ujinga wenu wenyewe hivi nyinyi wa mikoani mnaijua siasa ya nchi hii zaidi ya sisi wa Dar,hiyo gesi tunaitaka haswa sisi wa Dar bila ya kujali itikadi ya mtu,wanaomiliki viwanda,makampuni na maofisi yanayoitaji gesi si CCM tuu.
Muhimu mtulie muone sisi...
Kweli chadema kuna vichaa,kama una mkubwa ambaye hana namba ya makamanda wa mikoa na wilaya ss huyo atakuwa mkubwa wa wapi au wa choo cha chuo
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mvivu wa kutafuta hadi kufikiri ww,amekamatwa kwa issue zingine haziusiani na siasa ww unaleta ushetani wako na utaumia sana JK akimaliza atazunguka nchi nzima kulinadi jembe lingine ambalo litawavua viatu na kuwakalisha sanaaa
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Vibaka wote ndio wanaolichukia jeshi la POLISI,tutawapekua hadi uvunguni,smart room kama kawaida nchi itatulia kabla ya 2015
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.