Maandamano ni mojawapo ya shughuli kama kujenga barabara, kwani ujumbe utakaotolewa na waheshimiwa ktk hotuba ya leo utaihamasisha serkali ilioko madarakani kubadilika au kufanya vizuri ktk utawala wake.
Wengi wa watanzania hawajazoea ahadi kama alizotoa dr slaa , wanafikiri anasema uongo.wao wanataka hongo ya papo kwa papo. T-shirt, kofia, shs mia tano . Basi hakuna kingeni, wacha tuendelee kulalia ngozi.
Hivi hii serkali ya ccm na tume yake hawana aibu kwa mwenyezi mungu kuchelewesha matokeo kwa zaidi ya siku mbili eti kwa sababu mgombea wa ccm ameshindwa,. Inasikitisha sana..........
Namsikitikia anayekejeli ahadi za dr slaa, kwa miaka 50 ya ccm tuliahidiwa mengi lakini hayakutekelezwa. Wacha dr apate wajukuu wetu wasome bure,na wananchi wetu waache kujenga nyumba za miti. Watoto wako kasomeshe nje ya nchi.
kama tume inaweza kubaini kuna tatizo halafu serkali haichukui hatua, sioni sababu ya kuendelea kuundwa tume kila kukicha. hizo pesa zinazolipwa kwa waheshimiwa wa tume nafuu wakanunue madawati ya wanafunzi wanokalia ndoo au wanaosoma wakiwa wamekaa chini.huu ni ubabaishaji katika serkali hii ya...
Ninavyofahamu, ndege zote za hawa waheshimiwa siku zote fomalities za customs na immigration wanafanyia uwanja wa kimataifa kia,kwa ajili yakwenda kufanya shughuli za uwindaji loliondo na wakati huo huo hizo ndege huwa na vibali maalumu vinavyotolewa na Tcaa kwa ajili ya kuingia na kutoka Sio...
nimesikia asubuhi hii gazeti moja nimeandika kwamba mh Sita anatarajiwa kupewa tuzo kwa kuongoza vikao vya bunge vyema,je hilo nalo halitaleta maafa kwa chama cha ccm ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.