Wadau Nimekaa Mahali Fulani Hapa Mtaa wa Poznańska Street Katika Mji wa Warsaw Poland, Yani Wazungu Fulani Nikawaskia Wanazungumzia Tanzania Kwamba Hivi Sasa Ina Rais Mzuri Ambaye Anasimamia Vizuri Uwajibikaji Katika Masuala ya Fedha za Umma na Kuanzisha Elimu Bure.
Nikapata Hamu ya...
Kifungu cha 39 cha Sheria ya Kanuni za Adhabu Kinahusu Kosa Kuu (Core Crime) Dhidi ya Rais na Dola ya Tanzania. Ifahamike Kwamba, Rais Akishaapishwa (Uwe Hukumchagua au Ulimchagua), Uwe Unampenda au Humpendi - Yeye ni Kiongozi Mkuu wa Tanzania Ambaye ni Alama na Taswira ya Jamhuri ya Muungano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.