Napenda kufahamu ni wapi hapa dar nitapata miche ya mipapai ya kisasa,ile inayochukua miezi 6 pia napenda kujua changamoto kwenye hiki kilimo cha mapapai
sasa mbona mnanichanganya je hiyo VW Bora ni mbovu,na je gari za VW ipi ni nzuri kwa matumizi ya huku kwetu Tanzania,pia hiyo Audi hapa Tanzania spare ziko
kwa yoyote ambae amewahi kuitumia hii gari,naomba anijulishe ubora wake,ulaji wa mafuta pia je mafundi wa Tanzania wanaweza kuzitengeneza hizi gari nimetokea kuzipenda sana,kuhusu spare nimefanya utafiti ughaibuni zinapatikana kwa bei nafuu.
Naomba mawazo yenu
kama kuna mtu ana number ya simu ya Hussein Katanga mtendaji mkuu wa makama au Jaji Mkuu Othman Chande anipe niwajulisha,nadhani hawajui malalamiko haya
hizi tuhuma ni za kweli kabisa nimefanya uchunguzi wangu nimewahoji baadhi ya watumishi wa mahakama wanasema ni kweli na huyo chief Accountant alikuwa analindwa na Jaji Mtungi kipindi akiwa msajili wa mahakama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.