Daah, mimi wako watoto wawili, wote mabinti, yaani wakiniona tu kanisani huwa wanakuja mbio kunikumbatia na hawataki kukaa na mama zao, mmoja hadi aliandika jina langu shule kama baba yake, waalimu ilibidi kumpigia mama yake kuuliza! Bahati nzuri mama aliachana na baba ila mawasiliano ya kulea...
Inasikitisha sana, ukienda kwa mabwana mifugo hawana hizo hereni na wanakwambia hawapatiwa na serikali,hiyo hiyo serikali inatuchimba mkwara na deadline kibao,nadhani mpango ni kuja kutupiga hizo fine tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.