Ahsate sana Vuvuzela, make napiga hesabu hapa tu nasoma lakini hela nayolipia rent room moja tu dola 1100, ndo maana nachanganyikiwa nisije nikacukua kazi nikashindwa hata kurudi nyumbani. Nimeanza kufikiria kuanalyze alternatives ya miji midogo lakini sina uhakika na kazi huko make sehemu...
Sorry mkuu kutaja jina kabisa inakuwa ngumu, nataka kikae anonymous ili nipate ushauri usiokuwa na mlengo wowote. Ahsante sana kwa ushauri wako kaka, i appreciate.
Mkuu, kwa research niliyofanya naona graduates wenye elimu kama nitakayokuwa nayo nikimaliza wanapata 4m-6m TZS per month kwa bongo. Tatizo kubwa ninaloliona ni mji wa kuishi make connections nilizonazo za kazi naona kuna uwezekano wa kupata kazi mji expensive kama New York, ndo maana machale...
Ndugu wana JF
Naomba mnipe ushauri make nisije nikaingia choo cha kike.
Nimebahatika kupata shule marekani nasoma masomo ya level ya masters na nategemea kumaliza mwakani inshallah Mungu akijaalia. Nimekuwa nikijiuliza swali hapo juu na nimeongea na marafiki zangu lakini misimamo...
Ama kweli nyoka akikabwa koo!!
Madaktari hawana nafasi ya kukwapua fedha za serikali kama wewe mhasibu au mkurugenzi,
Wateja wao ni wagonjwa,
Wakati wamegoma wakidai kuongezewa mishahara hakuna mwananchi hata mmoja aliyewatetea, nyote mliwaona wajinga na kuwacheka
Sasa wamejua mbinu ya...
Wakazi wa Tegeta eneo la wazo hill wamelalamika kwa ukosefu wa maji safi huku wakiishi mita chache tu kutoka lilipo tanki kubwa la dawasco. Jana nilikuwa maeneo ya huko, eneo maarufu kama ''mkorosho bangi'' na kushuhudia jinsi wananchi wanavyopata shida ya maji huku tanki kubwa la kusambaza maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.