Habari zenu wana JF
Kumekuwa na kero kubwa ya watumiaji wa barabara inayopita external kupitia jeshini kuelekea tabata kimanga hapa kati kati kuna kipande hakina rami na barabara haijachongwa na kutokana na hari ya hewa ya mvua basi kila siku kero ya magari yana nasa na kusababisha kero kwa...
Maafisa wa Marekani na Korea Kusini wamesema jaribio la kombola la korea Kaskazini limefeli kwani kombola hilo lilianguka punde tu mara baada ya kupaa angani.Maafisa wa Marekani wamesema kombora hilo lilipaa angani kwa sekunde kadhaa kabla ya kuanguka,hii ni ishara kwamba korea Kaskazini haina...
Mkuu kuhusu kuna form nimeskia zipo TANESCO unajaza kwa wale wananchi wenye matumizi madogo ya umeme unakuwa unalipa 9700 kwa mwezi,je hiyo inabidi uwe na mita maalumu za watu wachini au kwa mteja yoyote mwenye matumizi madogo hiyo huduma inamuhusu?
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema kuwa Madaktari 258 waliokuwa wamekidhi vigezo vya kuajiriwa kwa mkataba nchini Kenya wataajiriwa nchini mara moja,amewaeleza waandishi wa habari Bungeni leo kuwa uamuzi huo ni agizo la Mheshimiwa Rais Dk John...
Mara nyingi watumiaji wa lugha ya kiswahili tunafanya makosa bila kujua,kwa wataalamu wa lugha ya kiswahili je ni sahihi kusema kuwa"Nimemkuta hayupo" pale unapoenda kumtafuta mtu ukamkosa
Hongereni sanaa TANESCO,ila pia mngesaidia kupunguza bei ya unit za umeme ila hata wale wananchi wa hari ya chini waishio vijijini waweze kumudu gharama za kulipa bill ya umeme
Heri ya pasaka wana JF
Leo katika pitapita nimekutana na mjadala uliokuwa unawaelezea wakali wa miondoko ya kufoka(hip hop) wa hapa TZ kati ya Joh makini na Fid q,toa maoni yako nani ni mkali zaidi katika uandishi wa mashairi na kuimba
Habari zenu wana JF
Nimejaribu kufuatulia kwa ukaribu ufugaji wa bata mzinga na nikafanikiwa kupata maelekezo namna ya kuwafuga na kuandaa mazingira ya kuwafuguia yaani ujenzi bora wa mabanda,kwa sasa nishaandaa mabanda ila sijajua wapi naweza kuwapata batamzinga wa kuanzia anayejua napoweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.