Chief nyumba hainunuliwi kama mboga sokoni unafanyika uchunguzi kwanza kujiridhisha baada ya hapo ndio mtu anaweza lipia suala la road reserves na mengineyo wachie wanunuzi wewe endelea kupiga ramli
Mkuu bora umeona hilo tuna watu wa ajabu sana nchi hii...hawajui mtu ana shida gani kwann kauza wao wanakuja na maneno ya ajabu kabisa halafu hata sio wanunuzi
Mahali:Malamba Mawili lami mpya ya kinyerezi km 6 toka Morogoro Road
Ukubwa wa eneo ni sqm 400
Bei 15 Million(haipungui)
Nyumba mpya
Vyumba 3 moja master, sebule, dinning na public na chemba za maji machafu tayari.
Angalia picha chini
Piga simu 0622-027490
Nissan bado ipo unataka mkuu?nyumba ya kitunda ishaondoka na Benz vishasepa na hii nyumba probably within this two days itaondoka njoo chukua nyumba masuala ya dalali au sio dalali yaache kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.