Search results

  1. Kituko

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tunazunguka sana, Shida ya Chelsea hipo kwa kocha TT, huyo Haaland hata kama angekuja Chelsea angekuwa kama Lukaku tu
  2. Kituko

    Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

    Mwanamke una gubu si mchezo. Mtoto wa kike hapashwi kuwa hivyo.
  3. Kituko

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mkuu mbona unajitahidi sna kuchambua Mpira umeshindwaje kuona kuwa Jorgino ndio alikuwa weaklink leo?, alipashwa kuwa bench 1st half, Konte kecheza kuziba hayo magap
  4. Kituko

    Mikel Arteta apewa mechi 5 tu kabla hajatimuliwa

    Na hii ya Man City ni miongoni mwa hizo Tano? kama jibu ni ndio basi wamempa mechi nne tu
  5. Kituko

    Rais anapofia madarakani, utaratibu ni upi kwa sheria za nchi yetu?

    Kweli Kabisa, hakuna jibu la maana lililotolewa
  6. Kituko

    Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

    Kigoma (Lake Tanganyika) inapakana na Uvira na Kalemie, Unajua Congo ina province (Majimbo) So Kalemie ni jimbo la Katanga lenye miji kama Lubumbashi, kolwezi nk, Uvira na Bukavu ni jimbo la Kivu ya Kusini na Goma ni Jimbo la Kivu ya Kaskazini so Kutokea Kigoma huwezi fika Bukavu au Goma na Pia...
  7. Kituko

    Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

    Issue ya Usalama Congo haitabiriki, muda wowote mambo yanaharibika, na pia unaweza kusikia watu wanapigana Goma lakini Bukavu wapo poa kama nchi nyingine, Goma kuna njia nyingi za kufika huko, kama umefika Bukavu kuna Meli pale Zinaitwa Emmanuel zinaenda Goma (Lake Kivu), au thru Rwanda kwa gari...
  8. Kituko

    Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

    w Msalimie Mwami Christian Longangi
  9. Kituko

    Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

    Ubalozi wa DRC upo pale Upanga opposite na Scout, kaombe Visa gharama 50$, karushwa lazima kawepo kidogo kama hauna documents toshelezi 1: Usikose Yellow Fever (Vaccination book) 2: kwa ndege Panda RwandaAir mpaka Kigali then ndege ndogo mpaka Kamembe (Ndani ya Rwanda) Huo uwanja wa Kamembe...
  10. Kituko

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Hao ni MaPress Secretaries ambao Nyerere aliwaamini sana, wa kwanza kushoto ni Habib Halahala, Paul Sozigwa, JKN, Bgr. Hashim Mbita na Benjamin Mkapa, wote wametangulia mbele ya Haki, wa kwanza kufariki ni halahala mwenye Suti Nyeusi Kushoto kabisa, na wa Mwisho kufariki ni Mkapa wa mwisho kulia...
  11. Kituko

    Rais Magufuli kushangiliwa kwa nguvu A. Kusini ina maana gani kwa CHADEMA?

    mkuu unafahamu historia ya Tanzania na South Africa?, Hai walishangilia jina Tanzania na wala sio Uncle
  12. Kituko

    ' Eagle Wing House ' jisafisheni juu ya hizi Kashfa ambazo kila Siku zinatupwa Kwenu ili muendelee Kuaminika na wengi

    Sio Eagle Wing house, naona kila siku unarudia kuandika hivyo, lile jingo ni complete Eagle, Two wings, Head and Tail, so linaitwa EAGLE HOUSE
  13. Kituko

    IGP Sirro: Nitachukua hatua ndani ya siku tatu kutekwa kwa MO Dewji

    Mkuu kuna vitu kadhaa inakupasa kuvielewa 1. IGP alikosea kidogo sana kuwa Padiri, hivyo ukae ukijua bado ana ludha ya kibiblia 2. Kwa hiyo hizo siku tatu za Sirro sio za kibinadamu, maana muda wake umeshapita, hivyo hizo ni za Koroho, hivi unajua siku moja ya kiroho ni sawa miaka mingapi? 3...
  14. Kituko

    Lipumba ashinda Uenyekiti wa CUF kwa asilimia 88

    Lengo ni kuivuruga na kuibomoa CUF
  15. Kituko

    Huu ndio muundo mpya wa upinzani mkubwa Tanzania, CUF kufutika Zanzibar

    Mkuu strategy ya kugomea uchaguzi wala haitawork out vzuri, kuna watu kama Mrema, Cheyo na Dovutwa hawa kwa 5mil tu wanaingiza timu vizuri tu
  16. Kituko

    Jeshi la Polisi lawataka Wanawake wa CHADEMA na ACT kuungana na wenzao kwenye maazikisho ya kitaifa Geita na Katavi

    Kuna mtu kazungumzia habari za Amnesty zinazoweza kuwa za ukweli, hii sio hali ya Kawaida
  17. Kituko

    Mkurugenzi Mtendaji LHRC Tanzania kupewa tuzo na Ikulu ya Marekani

    Tunzo ya Mwanamke jasiri Duniani, Mama Jesca, Mwl Janet Kaikosaje?
  18. Kituko

    Wabunge hawa wakirudi bungeni 2020 naacha siasa

    Unaonekana kabisa hata kazi za Wabunge huzijui
Back
Top Bottom