Kwanza natoa pongezi kwa shule na uongozi wa shule na wanafunzi kwa ujumla kwa kufanya vizuri katika masomo.
Changamoto iliyopo ni kuwa kuna hela wazazi wanachangishwa kwa kusudi fulani na hilo kusudi lisipokuwepo hiyo hela inakosa maelezo na wazazi wanaogopa kuuliza kisa SISTER atamchukia...
Hivi hakuna uwezekano ule mlango wa juu pale uwanjani kuruhusu watu kwenda kuona ndege ikitua na kuruka, wafanye kuwa na kiingilio japo mia 5 kuongeza mapato ya nchi.
Watu wengi wanaokuja kuwapokea au kusindikiza ndugu zao wanapenda kuona ndege ikiwa kwenye run way ila wanakosa fursa hio.
Kuna taarifa inayozunguka mitandaoni kuwa Mwl. Ayoub wa shule ya St. Florence Mikocheni Dar, anatembea na wanafunzi wake kimapenzi, hii taarifa ina ukakasi sana kwa sisi walimu wenzake na aibu kubwa, tunaomba vyombo husika vifanye uchunguzi wake na akibainika hatua kali zichukuliwe ili iwe...
1. Wasichana walio katika umri wa balehe walio katika mazingira hatarishi.
2. Vijana walio katika umri wa balehe.
3. Watoto yatima na watoto walio katika mazingira hatarishi (yaani watoto wanaoishi mitaani).
4. Wanaume wanaofanya ngono na wanaume wenzao.
5. Wanawake wanaofanya ngono kinyume na...
Kumekuwa na ongezeko la wimbi la uwizi maeneo ya Goba kuanzia njia panda ya kinzudi kuja kwa maeneo ya Mwaikambo mpaka Kunguru huku Mbezi Goba.Wanaiba sana vifaa vya magari na wanawapa sumu mbwa na wizi wa kupora pikipiki yaani watu Amani imepungua na taarifa isiyo rasmi kuwa kituo cha polisi...
Dar es Salaams Mwananyamala Hospital is yet to rid itself of congestion, particularly in the paediatric ward, with anything between three and four patients sharing one bed. The situation in blamed chiefly of shortage of buildings. Some mothers of children admitted to the hospital told this...
JAJI WEREMA APINGANA NA IKULU ,ASEMA BILA UKAWA HAKUNA KATIBA
Pichani ni Mwanasheria Mkuu wa Tanzania Jaji Fredrick Werema akiwa na Mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila Picha na Maktaba.
KILE kinachoonekana Mchakato upatikanaji katiba mpya umeanza kuwachanganya Viongozi wa Serikali ya Rais...
MWIGIZAJI wa kike wa filamu Kibongo Husna Chobis Awena amesema kuwa baada ya kurudi katika biashara zake nje ya nchi yupo tayari kuolewa lakini kwa mwanaume mwenye fedha za kutosha na siyo mbabaishaji.
Akifafanua zaidi, msanii huyo amesema hawezi kuolewa na mwanaume ambaye hawezi hata...
Saruji, mabati, nondo, mafuta kufutiwa kodi
Wakati Spika wa Bunge, Anne Makinda akitangaza Miswada ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT ) na Utawala wa Kodi kusomwa katika kikao cha Bunge lijalo kutokana na kutokamilika kwa sasa, baadhi ya bidhaa zitafutiwa kodi, imefahamika.
Jana Spika...
Mbaroni kwa kutupa kichanga
30/05/2014 | Posted by Julieth Mkireri | MikoaniPwani | 0 comments | 125 views |
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia Theresia Matia (19) mkazi wa Kwamatiasi, Wilaya ya Kibaha, Pwani kwa tuhuma za kutupa mtoto mchanga.
Tukio hilo limetokea juzi, saa 3 usiku...
Ray C sasa ahitaji mpenzi mzee31/05/2014 | Posted by Nasra Abdallah | Burudanimoto | 0 comments | 412 views |
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rehema Chalamila Ray C, amesema kwa sasa hana mpango wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu, na kama ikitokea basi atamtaka kuwa na miaka kuanzia...
Dar es Salaam. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kuhamisha kituo maarufu cha daladala cha Mwenge kwenda eneo la Makumbusho.
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, ofisa mfawidhi wa Sumatra wa Kanda ya Mashariki, Conrad Shio alisema Kituo cha...
Mwanasiasa mkongwe nchini, Kingunge Ngomale-Mwiru amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyo kwa vyama vingine vya siasa nchini, hakina malengo ya kuleta ukombozi wa kiuchumi, badala yake kinapigania kubaki madarakani.
Amesema, wakati CCM ikiwa katika kupigania kubaki madarakani, wapinzani...
Kujieleza imekuwa ni shida kubwa kwa baadhi ya viongozi wetu wengi. Wataalamu wa kufikiri wanasema unahitaji kufikiri kidogo tu unapotaka kusema ukweli. Lakini unahitaji kufikiri zaidi pale unapotaka kuficha kilichojiri na kusema unachotaka na wakati huohuo unataka unaowaambia, wasikuone mpuuzi.
Naomba kupata mawazo ya wana jf juu ya kuwa na daktari wa familia,je ni sifa zipi awe nazo?je awe kijana au wa makamo ,awe mwanamke au mwanaume na faida na hasara zao ni zipi?
Staa muuza nyago kwenye video za wasanii wa muziki wa kizazi kipya na filamu za Kibongo, Agnes Gerald ‘Masogange' na shosti wake, Mellisa Edward kabla ya kupandishwa kizimbani kwa msala wa dawa za kulevya ‘unga' Afrika Kusini waliingizwa kwenye chumba cha mateso kwa saa 24 ili kutaja...
Wanafunzi wote mliosoma shule ya msingi mlimani kwa kipindi chochote miaka ilipita tunaomba uje katika mkutano jumapili tar 18/08/2013 ,saa 9 pale brajeck karibu na survey na mlimani city,njoo ukutane na wanafunzi wenzako wa zamani,karibuni sana
Jamani kipindi hiki cha pasaka ningefurahi kuonana na binti huyu ,hebu niombeeni ndoto hii itimie
tafadhari zion daughter ni pm unipe namba yako japo nisikie tu sauti yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.