Ingekuwa haya yanasemwa kuhusu maeneo mengine ya Uchumi wetu/Biashara, nafikiri tungekuwa tumepiga hatua.
Kuhusu huo mgogoro, mie naona wapambane tu.
DJ
Mzee wa Kijiji
Yatatekelezeka? Ala kulli hali.....
Huu ndio ufanisi tunaolilia. Ikiwezekana hapa, kupitia na kurekebisha fomu zote ikiwa pamoja na utumiaji wa teknolojia ya computer.
Uchambuzi yakinifu unahitajika kupitia mfumo mzima wa nyaraka hizo.
Kwa wale wenye kufanya uchambuzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.