Imei iko sawa kabisa,baseband ila nikipiga simu inaniambia not registered on network,nmejaribu kurpair network ila bado haijakaa mkao, line inasoma na mnara unajaa nmeshabadili modem.bin zaidi ya nne lakini wapi
SAMSUNG GALAXY S6 EDGE SM G925F
haisomi line inaandika emergency only baseband haisomi, imei haipo/null kama kuna mtaalaam anaweza anisaidie nipo arusha mjini maeneo ya stand kubwa
nimehangaika sana kupata website ambayo naweza fanya test hiyo (GIA), naomba msaada wenu wana jamvi!! Website nyingi ni kwa kulipia wakuu na mimi kwa sasa sina uwezo wa kuilipia so kama kuna mtu anajua ma invigilator wowote wa online ambako ni free anifahimishe kwa kunipatia link!!
natanguliza...
waimbaji ni ADONAI GOSPEL SINGERS
jina la wimbo ni SITOSAHAU HURUMA ZA BWANA au HURUMA ZA BWANA
Unaweza ukau-attach apa kwenye thread au ukani-email via hewizet@gmail.com
ahsanteni
Application tajwa hapo juu inatumika katika kuflash ku-unlock simu kama vile blackberry,iphone pamoja na zile za android,ningependa kupata msaada juu ya link ya kuipata program husika, kui install kama kuna mdau mwenye nayo anisaidie nimejarbu pirates sites nyingi sana bila mafanikio...
Huyu mtu ni kwamba wamemshindwa au ile ardhi kule Loliondo na wale wanyama ni mali ya Oman??
Ni takriban mwaka wa 19 huu hakuna lolote wala taarifa juu wa unyama unaofanywa na huyu kibopa wa mfalme!!
Naomba kujua kutoka kwa wanajamvi undani na uhalali wa uwindaji wa huyu mtoto wa mfalme wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.